fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 5,609
- 7,169
wanasajiki ila watatangaza kwa mkupuombona kila siku naona wanaoondoka tu , timu haisajili?
wanasajiki ila watatangaza kwa mkupuombona kila siku naona wanaoondoka tu , timu haisajili?
Bado Gsm kudai hela zake🤣🤣Endeleeni kujenga timu mpka 2030
Kwa kupitia hiyo aga yake tu, ni wazi anaenda Yanga. Kwa umri wake sidhani kama ana mpango wa kutoka nje ya mipaka ya nchi.Kama anaenda Yanga ,msimu ujao Yanga italua moto sana aisee inaweza fika Nusu au fainali Ya CAF
Mimi sioni kama Yanga ina makosa. Mchezaji amemaliza mkataba, na inawezekana alihitaji changamoto mpya. Na ukija kwa Yanga, ni ukweli ilimhitaji beki mzawa, na wa kiwango cha Zimbwe kwenye hiyo nafasi ya ulinzi wa kushoto ambayo msimu uliopita ilikuwa uchochoro mara tu baada ya Boka kuumia.Source?
Edit: nimeshaona kweli kaaga
Yanga huu ni mtego, sajilini wachezaji wenye njaa achana na hao kina zimbwe hayo ni mambo ya kukomoana na Simba tu
Huyu ni mstaafu hana shida ya kucheza tena, yeye ni maokoto tuSasa kule Yanga atamuweka nani benchi ?!
Labda hela atapa lakini siyo muda mwingi wa kucheza.
Acha aende kuchukua makombe hakuna mchezaji asiependa makombeHuyu ni mstaafu hana shida ya kucheza tena, yeye ni maokoto tu
Ndiyo maana nasema watanzania ni wanafki wakubwa. Leo mmenusa anakuja kwenu mmeanza kumsifia.Mimi sioni kama Yanga ina makosa. Mchezaji amemaliza mkataba, na inawezekana alihitaji changamoto mpya. Na ukija kwa Yanga, ni ukweli ilimhitaji beki mzawa, na wa kiwango cha Zimbwe kwenye hiyo nafasi ya ulinzi wa kushoto ambayo msimu uliopita ilikuwa uchochoro mara tu baada ya Boka kuumia.
Kibabage alionesha mapungufu makubwa kwenye ukabaji. Binafsi naunga mkono usajili wake. Labda kama ingekuwa ni rahisi kumpata Pascal Msindo kutoka Azam, sawa! Ila kumpata mchezaji wa kiwango cha Mohamed Hussein, tena akiwa ni free agent! Maana yake Yanga imeokota dodo kwenye mpera.
Huyu jamaa bado ana misimu kadhaa ya kucheza kwa kiwango cha juu kwenye ligi yetu, kutokana tu na namna anavyo jitunza nje na ndani ya uwanja.
Upo sahihi kabisa. Simba itaendelea kuteseka kwa Zimbwe kuwa ndiye captain (kama ambavyo misimu hii miwili ya mwishoni iliteseka kwa ucaptain wa Bocco), kwa sababu wanapata ugumu kumpa captain sub au kumuanzia nje. Yupo yule dogo mwingine mpya aliye bora kuliko yeye ila sitegemei kama atakuja kupewa nafasi, kila siku tutabaki kulia tu "Zimbwe anahitaji mbadala", halafu wakija hao mbadala wanasugua benchi hadi wanaachwa.
Pia juzi nilisema Che Malone ndiye atakayeamua mafanikio ya Simba msimu huu.
Mmoja wa wachezaji ambao Hersi anawamezea mate ni Zimbwe.
Makosa na madhaifu ya Zimbwe yamekuwa ni haya haya kwa muda mrefu. Hili tatizo la kuacha mtu wake nyuma yake kama lililozaa goli la leo la pili nimelisema saana. Amefanya hili kosa sana tu, naweza kurudi hadi mechi na Jwaneng Galaxy ya Mkapa 3-1, nadhani lilikuwa goli la 3.
Kwa upande wangu amekuwa the weakest link ya Simba kwa muda mrefu sana.
Hayawi hayawi yamekuwa. Kalpana unaonaje kinachoendelea hapo Msimbazi?Ukweli ndiyo huo. Zimbwe lazima atakuja kuchezea Yanga hata kama atakuwa na miaka 40. Hili nimeshawahi kulisema kitambo.
Wewe huyoo ila wazee ni wanafiki sana...😃😃😃Mimi sioni kama Yanga ina makosa. Mchezaji amemaliza mkataba, na inawezekana alihitaji changamoto mpya. Na ukija kwa Yanga, ni ukweli ilimhitaji beki mzawa, na wa kiwango cha Zimbwe kwenye hiyo nafasi ya ulinzi wa kushoto ambayo msimu uliopita ilikuwa uchochoro mara tu baada ya Boka kuumia.
Kibabage alionesha mapungufu makubwa kwenye ukabaji. Binafsi naunga mkono usajili wake. Labda kama ingekuwa ni rahisi kumpata Pascal Msindo kutoka Azam, sawa! Ila kumpata mchezaji wa kiwango cha Mohamed Hussein, tena akiwa ni free agent! Maana yake Yanga imeokota dodo kwenye mpera.
Huyu jamaa bado ana misimu kadhaa ya kucheza kwa kiwango cha juu kwenye ligi yetu, kutokana tu na namna anavyo jitunza nje na ndani ya uwanja.
Zimbwe sio wa kupapatikia kiasi hichoDah bilioni 87 zimeshindwa kumbakisha?
Huko alikokuwa hajawahi kuchukua makombe?Acha aende kuchukua makombe hakuna mchezaji asiependa makombe
Huo ndiyo ukweli. Na hakuna siku niliwahi kumponda Mohamed Hussein kama beki mbovu wa kushoto. Kwa hiyo hakuna unafiki hapa! Ingawa ni ukweli kuna mechi moja ya derby aliwahi kugeuzwa kama chapati na Stephane Aziz Kii.Wewe huyoo ila wazee ni wanafiki sana...😃😃😃
Lini tulimponda? Au kwa sababu nyinyi mnamponda, kwa hiyo na sisi tunatakiwa kuwaunga mkono?Ndiyo maana nasema watanzania ni wanafki wakubwa. Leo mmenusa anakuja kwenu mmeanza kumsifia.
Wanafikiii...wakiwa Simba wazee wakija kwenu wako boraa...Huo ndiyo ukweli. Na hakuna siku niliwahi kumponda Mohamed Hussein kama beki mbovu wa kushoto. Kwa hiyo hakuna unafiki hapa! Ingawa ni ukweli kuna mechi moja ya derby aliwahi kugeuzwa kama chapati na Stephane Aziz Kii.
Hajawahi kuchukua makombe 5 kwa msimu mmojaHuko alikokuwa hajawahi kuchukua makombe?
Mara ya mwisho uliapa umeacha kushabikia mpira au sio weweWanafikiii...wakiwa Simba wazee wakija kwenu wako boraa...
Kuleni mabaki hayo