Mohammed Hussein athibitisha kuondoka Simba

Mohammed Hussein athibitisha kuondoka Simba

Lini tulimponda? Au kwa sababu nyinyi mnamponda, kwa hiyo na sisi tunatakiwa kuwaunga mkono?

Msimu uliopita baadhi ya mashabiki wa Yanga tuliulalamikia upande wa kushoto wa timu yetu na hasa baada ya Boka kuumia! Kibabage alikuwa ni dhaifu. Viongozi nao waliliona hilo tatizo na kuamua kumsajili Zimbwe Jr ili kumpa changamoto Boka! Halafu unatuita wanafiki!! Tuache tupongeze usajili wa timu yetu kwa uhuru, ok?
Unajua kabisa sina uwezo wala muda wa kuanza kufukunyua nyuzi kutafuta mahali uliposema Zimbwe ni mbovu.

Ninachojua mmekuwa mnaiita Simba mbovu ikiwa na wachezaji hao hao ambao wakiondoka mnawachukua. Mmekuwa mnaapa kuwa hakuna mchezaji wa Simba anayeweza kuanza pale Yanga ila leo Mwenda yuko kikosi cha kwanza mbele ya Kibwana. Wewe unajua ndani ya moyo wako kuwa Zimbwe ataanza mbele ya Boka na Kibwana na roho zenu zitakuwa na amani kabisa. Hapo ndiyo maana tunawaita nyie ni wanafki.
 
Yanga timu tayari wanayo ila hapo wanafanya maboresho kwa muda mrefu sasa nchi yetu haijawahi pata beki bora wa kushoto kuliko Mo Hussein.

Bahati mbaya kila msimu timu yetu inaanza upya ona msimu huu ambao tunaambiwa kikosi kizuri tayari tushaacha wachezaji muhimu tena kikosi cha kwanza
Hao sio wachezaji wa kutufikisha popote ndio maana tumewaacha. Mohamed Hussein yupo Simba miaka yote lakini nibmwendo wa robo fainali Tu. So waliohitajika wamebaki wacha vyuma virtue
 
Wamemuachia valentine nouma na sasa huyu tena?
Naupongeza uongozi wangu kwa kufukuza mizigo, vyuma vimesajiliwa, kuna paschal msindo na chuma kingine kinashuka tulia mwanangu Simba.
 
Back
Top Bottom