Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,930
- 3,980
Acha aende
Hao ni wachezaji bado haijawa timu. Ili iwe timu lazima apatikane mwalimu mzuri wa kuwafanya wachezaji waweze kuelewana, kuwa na mbinu bora za kimchezo na la mwisho lazima waingie mapema pre season kwaajili ya maandalizi ya msimu.Kama anaenda Yanga ,msimu ujao Yanga italua moto sana aisee inaweza fika Nusu au fainali Ya CAF
Kanji alishindwa kumpatia haya?Baada ya kutumikia Simba SC kwa takribani miaka 11, nahodha wa klabu hiyo Mohamed Hussein ameagana rasmi na Wekundu wa Msimbazi kufuatia mkataba wake kumalizika na kutoongezwa tena.
View attachment 3411217
Mohamed Hussein, maarufu kama "Zimbwe Jr", ameacha alama kubwa ndani ya kikosi hicho akichangia mafanikio lukuki ikiwemo ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Mataji ya Kombe la FA na safari mbalimbali za kimataifa kwenye michuano ya CAF.
View attachment 3411216
Tetesi zinaeleza kuwa Mohamed Hussein huenda akatua Yanga SC baada ya kuondoka Simba, huku akihusishwa na ofa ya kuvutia iliyowekwa mezani na mabingwa hao wa kihistoria.
Kwa mujibu wa vyanzo vya kuaminika, Yanga SC inadaiwa kumpa Mkataba wa Miaka Miwili wenye masharti yafuatayo:
- Pesa ya usajili: Shilingi milioni 300
- Mshahara: TSh. Milioni 25 kwa Mwezi
- Gari: Harrier Anaconda mpya
- Tiketi za ndege: Vacation ya kifahari Dubai
Kuota RUKSAKama anaenda Yanga ,msimu ujao Yanga italua moto sana aisee inaweza fika Nusu au fainali Ya CAF
simba sio MTU.hatuna bifu nae aende kiroho safi.Kwa mwendo huu mwakani tunarudi kwenye wimbo wetu pendwa wa kujenga timu
SawaKuota RUKSA
Mimi hata huwa siamini kama wachezaji wetu wamefikia stage ya kulipwa mishahara hiyo kuliko hata wabunge..Baada ya kutumikia Simba SC kwa takribani miaka 11, nahodha wa klabu hiyo Mohamed Hussein ameagana rasmi na Wekundu wa Msimbazi kufuatia mkataba wake kumalizika na kutoongezwa tena.
View attachment 3411217
Mohamed Hussein, maarufu kama "Zimbwe Jr", ameacha alama kubwa ndani ya kikosi hicho akichangia mafanikio lukuki ikiwemo ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Mataji ya Kombe la FA na safari mbalimbali za kimataifa kwenye michuano ya CAF.
View attachment 3411216
Tetesi zinaeleza kuwa Mohamed Hussein huenda akatua Yanga SC baada ya kuondoka Simba, huku akihusishwa na ofa ya kuvutia iliyowekwa mezani na mabingwa hao wa kihistoria.
Kwa mujibu wa vyanzo vya kuaminika, Yanga SC inadaiwa kumpa Mkataba wa Miaka Miwili wenye masharti yafuatayo:
- Pesa ya usajili: Shilingi milioni 300
- Mshahara: TSh. Milioni 25 kwa Mwezi
- Gari: Harrier Anaconda mpya
- Tiketi za ndege: Vacation ya kifahari Dubai
Hizo stori za jaba Yanga au timu yoyote ndani ya Tanzania hakuna atakayetoa 900M kwa Mo Hussein hasa na umri wake huo.Kwa milioni 900 acha tu aende, kuziacha hizo ni upuuzi
Wachaakajaribu changamoto maeneo mengineDah bilioni 87 zimeshindwa kumbakisha?
SawaWachaakajaribu changamoto maeneo mengine
Endeleeni kujenga timu mpka 2030simba sio MTU.hatuna bifu nae aende kiroho safi.
Ila ingekuwa upande wa pili Hadi majini wangemtupia