Mohammed Dewji kwanini haendi bungeni?

Mohammed Dewji kwanini haendi bungeni?

Inaonyesha wewe unadhani Bungeni kazi ni kutafuta maji au barabara jimboni. Kwa vile hufahamu majukumu ya Bunge sina muda wa kukupa darasa maana kama umesoma utakuwa ulifundishwa shule. Ila nikueleze jambo moja then kachimbe uelewe,Bunge ndio chombo kikuu cha kuisimamia serikali.


Sent from my iPad using JamiiForums
kaacha bunge lakini anahangaika kwenye nyumba za udongo !
 

Attachments

  • attachment-1.jpeg
    attachment-1.jpeg
    8.4 KB · Views: 478
Kuna general lack of seriousness kwa viongozi wetu,sio Dewji peke yake.Lakini tusimlaumu sana.Kama waswahili wenyewe hawajali,why him.Afterall he has nothing to loose.Infact,I would do the same.Tatizo ni kwamba, nchi yetu kwa ujumla imekosa uwajibikaji kabisa,system nzima ya uwajibikaji ime-collapse ,kutoka juu mpaka chini.Sasa nani amfunge paka kengele.Ni kama hakuna uongozi, inasikitisha sana.Ukiangalia yeyote anayeitwa kiongozi kwa sasa,huoni njia,it's dark.Hakuna anayeleta matumaini .Na sisi waswahili pia tu wajinga sana,why Dewji.Hivi India unaweza kukuta mbunge mswahili kweli.Ni upuuzi tu.Huu umaskini wetu unatutesa kweli kweli.Kwa kuwa Dewji ana tuhela,basi tunadhani tuhela twake tutahamia kwetu.Shida sana.
Umekuwa ni utaratibu wake kutohudhuria,

kufika bungeni kusalimia wenzake na kukimbia kwenye vikao vya kawaida vya Bunge, sasa na Bunge la Katiba haendi, kama anaona biashara zake ni za maana zaidi kwanini aligombea Ubunge? Wananchi wake wanawakilishwa vipi katika masuala ya muhimu?

Yawezekana huyu ni mbunge mzigo kuliko wengine. na hata asipoenda, siku anapoenda huko akigawa kidogo hata vigogo wa Bunge wanaufyata.

ifike mahali watanzania wajue hili
 
Nenda katembelee jimbo lake halaf uje na hoja yako. Halafu nenda katika jimbo la mbunge anayehudhuria kila kikao cha bunge. Kisha tumia akili kupambanua naamini utajiona mkuda.
 
Kwakweli kati ya watu waliopoteza kura niwatu Wa Singida mjini na sisi waswahili wa Kigoma mjini kwa Serukamba ingawa wanatanguliwa na jimbo la Mama Asumputa.Kiukweli naweza kusema nikama laana
 
Nenda katembelee jimbo lake halaf uje na hoja yako. Halafu nenda katika jimbo la mbunge anayehudhuria kila kikao cha bunge. Kisha tumia akili kupambanua naamini utajiona mkuda.
umelipwa cash au umepewa kiroba cha unga wa mo sembe ?
 
Kwakweli kati ya watu waliopoteza kura niwatu Wa Singida mjini na sisi waswahili wa Kigoma mjini kwa Serukamba ingawa wanatanguliwa na jimbo la Mama Asumputa.Kiukweli naweza kusema nikama laana
nimejikuta nawahurumia sana watu wa singida !
 
Kwenye wabunge wote umemwona Mohammed dewji tu?
Kama kuna kitu unataka akufanyie sema tu ili
nikupe kontakti zake.

Kwa hyo unataka watu wajue kma una kontakti zake au we pia ni mzigo mwingine
 
sioni kama kuna tatizo kama matatizo ya wananchi wake anayatatua. ila kama wananchi anaowawakilisha hawa benefit chochote hapo ndo kuna shida kubwa ya yeye kuonekana mzigo tena wamisumari na chama chake kinatakiwa kumuambia

Mkuu, Wabunge kwenda Bungeni si kwa ajili ya kuwasilisha matatizo ya jimbo lao tu. Nadhani katika siasa tulikuwa tunajifunza juu ya kazi saba za msingi za Bunge.
 
Ubunge wake ni kwa ajili ya kulinda biashara zake tu haramu maana hata kodi halipi huyu jamaa. Sekta ya sukari kaiweka mfukoni na viwanda vyetu vinalundika sukari inakosa soko ili hali yeye analeta sukari zake za magendo kutoka Pakistani na kuzifungasha hapa TZ na kuziuza. Atakayeona kuwa mimi mbaguzi aseme tu lakini nasema ukweli kuwa hawa watu wanaoitwa wahindi hawana mapenzi mema na TZ. Wanajifanya waTZ ili hali mioyo yao iko kwa wahindi wenzao huko India na Pakistani na ndo maana wanawapelekea biashara huku wakifurahia waTZ wakitaabika. Tunahitaji rais kama Iddi Amini awafukuzie mbali hawa Wahindi ili tuweze kupata maendeleo. Maana wao ndo wazee wa madili makubwa ya wizi TZ. Kumbuka Somaiya wa Shivacom wizi wake kwa Vodacom na deals za radar na ndege za jeshi, Patel wa EPA, Singasinga wa Escrow, Rostam Aziz, ukijumlisha wizi wao ni matrilioni.
 
Mradi anatekeleza shida za wananchi wake acha afanye atakavo
 
Huu uzi ni kabla hajastaafu ubunge...sasa si Mbunge tenahakugombea....2015...hao wahindindio wameshikilia uchumi wa export mazao yetu hasa korosho vyakula asili dengu....na mengineyo pia wao wanaagiza sana vyakula mafuta sukari ngano yaani uchumi wana control wao! Umeona suala Manji na kususiwa mbaazi zetu na wahindi?? Bei imeshuka toka 2800 hadi 50Tsh na hakuna mnunuzi!!! Wamegwaya wamemtoa na kesi hana......
 
Back
Top Bottom