Mohammed Dewji kwanini haendi bungeni?

Mohammed Dewji kwanini haendi bungeni?

majukumu ya mbunge ni kuwakilisha wananchi katika kutatua matatizo yao. sasa kama yeye anaweza kuyatatua bila kuhudhuria bunge shida iko api!
angalia ni wabunge wangapi wanahudhuria kila kipindi ila wananchi matatizo bado yanzidi ongezeka.
cha muhimu hapa ni kuwapa maendeleo tuu kwa anaowawakilisha. haijalishi kahudhuria au la.


Mkuu Charlie chaplin,sasa iwapo ahudhurii BUNGENI WAJIBU WAKE WAKUIWAJIBISHA NA KUISIMAMIA SERIKALI kwa mujibu wa Katiba ya Nchi atautekeleza vipi?Mbunge haishii kutatua matatizo tu kwa ujanja wake au ukwasi alionao bali kuisimamia serikali (KUPITIA BUNGE) kuhakikisha inatumia raslimali za nchi kwa manufaa ya wananchi wake na nchi kwa ujumla.
 
Kenya,Uganda na Rwanda walipoamua kututenga katika jumuia y EA ni kwa vile nchi yetu ina watu wengi wenye akili za chini kama zako. Wewe kwako akifanyacho Dewji ni sawa kabisa kwa vile akija kutembelea jimboni anagawa kilo mbili mbili za sembe na sukari? Na Ubungo hakuna maji kwa sababu ya mnyika?
Shughulisha akili yako japo kidogo kuliko kuchangia kitu ambacho mwishowe kinaonyesha uwezo mdogo wa ufahamu ulio nao. Kweli JF kama tungekuwa tunakuja na ID za kweli, basi kuna watu wangekuwa wanazomewa mitaani kwa kauli zao walizotoa.
Mbunge anatakiwa awepo Bungeni ili sii kuzungumzia maendeleo tuu bali kuwakilisha watu wake maana yeye ndio sauti yao katika kujadili sera, mipango na hatima yao hata ya miaka mingi ijayo. Dewji anapokuwa hayupo maana ni kuwa Singida haipo katika mjadala huo.


Sent from my iPad using JamiiForums

Kwanza ufaham kuwa mm sio mpiga wa jimbo lolote la Singida. Halafu uwepo wake au kutokuwepo ktk vikao vya bunge la ina yeyote lile mimi siathiriki kwa kuwa hata Mbunge wangu hanisaidii binafsi najiona anajisaidia yeye binafsi zaidi Akili zangu na Nguvu zangu ndio tegemeo langu. Ndio maana nika coments kuwa huyo Mnyika anae hudhuria kila kikao wapiga kura wake hawanufaiki na mahudhurio yake shida ya Maji ya ubungo na singida kwa Mo asie hudhuria haitofautiani na bora huyo Mo hahudhurii kama usemavyo lakini anatoa kg 2 za sembe akienda jimboni Myika anatoa nini au viroba vya konyagi?
 
Angalia jimboni kwake kuna hatua gani ktk maendeleo? Cyo kuropoka tuu
 
Kwanza ufaham kuwa mm sio mpiga wa jimbo lolote la Singida. Halafu uwepo wake au kutokuwepo ktk vikao vya bunge la ina yeyote lile mimi siathiriki kwa kuwa hata Mbunge wangu hanisaidii binafsi najiona anajisaidia yeye binafsi zaidi Akili zangu na Nguvu zangu ndio tegemeo langu. Ndio maana nika coments kuwa huyo Mnyika anae hudhuria kila kikao wapiga kura wake hawanufaiki na mahudhurio yake shida ya Maji ya ubungo na singida kwa Mo asie hudhuria haitofautiani na bora huyo Mo hahudhurii kama usemavyo lakini anatoa kg 2 za sembe akienda jimboni Myika anatoa nini au viroba vya konyagi?

Inaonyesha wewe unadhani Bungeni kazi ni kutafuta maji au barabara jimboni. Kwa vile hufahamu majukumu ya Bunge sina muda wa kukupa darasa maana kama umesoma utakuwa ulifundishwa shule. Ila nikueleze jambo moja then kachimbe uelewe,Bunge ndio chombo kikuu cha kuisimamia serikali.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Kwani hata akienda umeishawahi kumsikia au kusoma kama kachangia kwa kuzungumza au kuandika toka amekuwa mbunge mwaka 2000?
 
Inaonyesha wewe unadhani Bungeni kazi ni kutafuta maji au barabara jimboni. Kwa vile hufahamu majukumu ya Bunge sina muda wa kukupa darasa maana kama umesoma utakuwa ulifundishwa shule. Ila nikueleze jambo moja then kachimbe uelewe,Bunge ndio chombo kikuu cha kuisimamia serikali.


Sent from my iPad using JamiiForums

Ww ulitaka nikuanishie kazi zote za Bunge/Mbunge? Mbona unaruka ruka kama chura hiyo ndio elimu ulio nayo. Au ndio nyie munaye nunua mitihani?
 
Ww ulitaka nikuanishie kazi zote za Bunge/Mbunge? Mbona unaruka ruka kama chura hiyo ndio elimu ulio nayo. Au ndio nyie munaye nunua mitihani?

Sawa mkuu wewe ni mshindi. Nenda kamwambie Dewji asiende kabisa Bungeni kwa vile anagawa 2 kgs za sukari inatosha. Kwaheri.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Mkuu Charlie chaplin,sasa iwapo ahudhurii BUNGENI WAJIBU WAKE WAKUIWAJIBISHA NA KUISIMAMIA SERIKALI kwa mujibu wa Katiba ya Nchi atautekeleza vipi?Mbunge haishii kutatua matatizo tu kwa ujanja wake au ukwasi alionao bali kuisimamia serikali (KUPITIA BUNGE) kuhakikisha inatumia raslimali za nchi kwa manufaa ya wananchi wake na nchi kwa ujumla.

Dewj anavunja Katiba ya nchi....kwanini hatekelezi kazi zake kikatiba
 
Hata wanandoa hawakutani kila siku,kwanini wewe unamtaka dewji aende bungeni kila mara?au kila siku?Kwa vurugu zile za Chadema una taka Dewji akafanye nini? Si bora apanue biashara zake ili kaka zako na dada zko wapate ajira?
 
Hata wanandoa hawakutani kila siku,kwanini wewe unamtaka dewji aende bungeni kila mara?au kila siku?Kwa vurugu zile za Chadema una taka Dewji akafanye nini? Si bora apanue biashara zake ili kaka zako na dada zko wapate ajira?
Unaonekana wewe ni mtoto mboga mboga
 
Umekuwa ni utaratibu wake kutohudhuria,

kufika bungeni kusalimia wenzake na kukimbia kwenye vikao vya kawaida vya Bunge, sasa na Bunge la Katiba haendi, kama anaona biashara zake ni za maana zaidi kwanini aligombea Ubunge? Wananchi wake wanawakilishwa vipi katika masuala ya muhimu?

Yawezekana huyu ni mbunge mzigo kuliko wengine. na hata asipoenda, siku anapoenda huko akigawa kidogo hata vigogo wa Bunge wanaufyata.

ifike mahali watanzania wajue hili

Hata prof muhongo haingii bungeni pia
 
Back
Top Bottom