Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 29,489
- 42,564
..
Tope
Watu wanakula ruzuku ufipa hamlalamiki ila wanaokula kwa jasho lao roho zawauma mmerogwa?
..
Tope
Huyo Mnyika asie kosa vikao vyote, Ubungo Maji yanauzwa 500 kwa dumu la 20 Lts tena yakisima chumvi tupu
Umekuwa ni utaratibu wake kutohudhuria,
kufika bungeni kusalimia wenzake na kukimbia kwenye vikao vya kawaida vya Bunge, sasa na Bunge la Katiba haendi, kama anaona biashara zake ni za maana zaidi kwanini aligombea Ubunge? Wananchi wake wanawakilishwa vipi katika masuala ya muhimu?
Yawezekana huyu ni mbunge mzigo kuliko wengine. na hata asipoenda, siku anapoenda huko akigawa kidogo hata vigogo wa Bunge wanaufyata.
ifike mahali watanzania wajue hili
Huyo Mnyika asie kosa vikao vyote, Ubungo Maji yanauzwa 500 kwa dumu la 20 Lts tena yakisima chumvi tupu
Jukumu la mbuge ni kuiambia serikali ipeleke hayo maji. Je unataka Mnyika atumie pesa yake kusambaza maji?
Kwenye wabunge wote umemwona Mohammed dewji tu?
Kama kuna kitu unataka akufanyie sema tu ili
nikupe kontakti zake.
mnyika ni dawasco?Huyo Mnyika asie kosa vikao vyote, Ubungo Maji yanauzwa 500 kwa dumu la 20 Lts tena yakisima chumvi tupu
mnyika ni dawasco?
Vipi huu ni upako mpya wa kuwa na viongozi wanaotatua matatizo ya wananchi kwa fedha zao au...... Ni nini maana ya kumchagua mtu kuwa mwakilishi!
Vipi kuhusu hili la katiba pia atawaandaliya ya kwao au.., na miswada inayopitishwa na bunge yeye pia astahili kuwakilisha maslahi ya wananchi wake kwa kuwa tyr atawatungia za kwao.
Na upande wa lile la bajeti, ndo ataandaa bajeti ya jimbo lake na kuwamwagia fedha toka kwenye fuko lake.
Tz yenye mtizamo mpana inawezekana na inaanza na wewe mwenyewe