Mohammad Dewji shut that little mouth up!

Maskini mie!! kutokujua kingereza hukuuu!!
Hivi ni kweli hiyo twiti ya Mudi imekaa vibaya kiasi cha kumtolea povu kiasi hicho?!!!
Nahuja, njoo tufungiane kwa chumba tufundishane. Tukitoka kila mtu anajua kimombo..teh!!
 
Alichukua anazungumzia kanye ni utumwa wa kiakili. Hata wazungu na waraabu wenyewe mababu zao walikua ni watumwa zamani lakini ni waafrica tu ndo hadi leo tunalaumu matatizo yetu kwa utumwa au ukoloni. Ndo mana kanye anasema "We're mentally imprisoned."
 
Mbona sioni shida ya hiyo tweet jamani, au mimi kiingish sikijui[emoji72] [emoji72]
 
Mpendwa inawezekana kaumizwa na mtu anakuja hapa apate afueni muonyesheni upendo mleta mada yuko mpweke trust me, mie mwanamke najua hilo
 
Masikini huamini matatizo yao yameletwa na waliofanikiwa! Wewe endelea Tu kulaumu watu kwa matatizo yako na hii mada umeileta makusudi Tu unajua Kuna makopo wenzio humu wengi Tu wangekuunga mkono kwa sababu za either siasa,soka,umasikini,udini,ujinga or whatever.BADILIKA
 
Huu ndio uzuri wa social networks.

Mtu yuko kijijini kwao Kivule, ndani ya chumba kimoja chenye giza, humo humo kuna mkaa na madumu ya maji lakini akipata mia tano ua bando anamtolea povu Dewji.

Chances are, Dewji will never see this stinky thread of yours!

Usipambane na Dewji, pambana na umasikini wako!
 
Unamuonea sana! Alichosema ni ukweli kabisa kulingana na ethics za uchumi.
 
Tatizo la waliosoma KLF
 
hilo la tembo nakuunga mkono Kassim Dewji alikua ana ofisi pale Haidary plaza posta mpya mzigo alikua ananunua laki 5 kwa kilo na akienda rufiji kuuchukua kwa gari ya waziri mkubwa kabisa anakupa laki3 kwa kilo.
Pia hawa walipata mashamba ma godown ya umma kwa bei ya kutupa wakaenda benki kuchukulia mikopo kwa kweli hana la kutufundisha.Mjanjamjanja fulani hivi
 
Wivu na roho mbaya tu
 
Acha chuki sababu ya umasikini wako,biashara ya utumwani wa kulaumiwa ni waafrica wenyewe inakuaje watu waswagwe toka Congo wanapita vijiji vyote wakisindikiwa Na watu hawazidi kumi Na wakipita vijiji vyenye watu walishindwa vipi kuwaaua ma slave master ili kuzuia wenzao kuchukuliwa utumwani,maana adui wa mwafrica ni mwafrica mwenzake.Utajiri ni hobby hata wwe ukitaka kuwa waweza.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…