hatamie nashangaa, hatuwezi chukulia tofauti za mababu zetu nasi tukazichukua hivyo hivyo, hadi miaka ya themanini mmasai alikuwa hawezi kwenda tarime au bariadi kwa uhasama wa kuibiana mifugo. leo hii wamasai wapo tarime na bariadi wakiuza ngorotee na shanga.Una muhukumu mtoto kwa dhambi aliofanya baba ake, kweli wewe una chuki binafsi.
You have nothing to tell us,,,,,,,mlitumia mianya ya udhaifu wa vizazi vilivyopita mkajipatia utajiri wa kishenzi dhuluma uuaji wa tembo na rushwa
kuanzia sasa hivi learn how to shut that small mouth up!!!kwanza mliuza babu zetu utumwani na mkawaua kwa kuwatesa,,i hate you,,wewe ni kizazi cha uovu na akili zako zimejaa uovu hakuna jambo lolote unaweza kuwaambia watanzania nenda kwenu huko uarabuni ukapigane na waarabu wenzio huko
ACHA UBAGUZIYou have nothing to tell us,,,,,,,mlitumia mianya ya udhaifu wa vizazi vilivyopita mkajipatia utajiri wa kishenzi dhuluma uuaji wa tembo na rushwa
kuanzia sasa hivi learn how to shut that small mouth up!!!kwanza mliuza babu zetu utumwani na mkawaua kwa kuwatesa,,i hate you,,wewe ni kizazi cha uovu na akili zako zimejaa uovu hakuna jambo lolote unaweza kuwaambia watanzania nenda kwenu huko uarabuni ukapigane na waarabu wenzio huko
Wewe kweli ni rose- marie.You have nothing to tell us,,,,,,,mlitumia mianya ya udhaifu wa vizazi vilivyopita mkajipatia utajiri wa kishenzi dhuluma uuaji wa tembo na rushwa
kuanzia sasa hivi learn how to shut that small mouth up!!!kwanza mliuza babu zetu utumwani na mkawaua kwa kuwatesa,,i hate you,,wewe ni kizazi cha uovu na akili zako zimejaa uovu hakuna jambo lolote unaweza kuwaambia watanzania nenda kwenu huko uarabuni ukapigane na waarabu wenzio huko
Matajiri wataishi kama ahera-bossAkili za masikini ni kuamini na kulaani matajiri kuwa ndio waliwafanya wao kuwa masikini.
Tafuta hela we dada, lawama hazitakufanya tajiri.
Naunga mkono hoja
Na mi nimeshangaa kumwita mwarabukwanza mbona sioni tatizo kwenye tweet ya MO! pia hoja ni asili yake au tweet yake? unge concentrate kwenye point moja ingeleta maana zaidi, kuhusu biashara ya utumwa MO ni mwenye asili ya India na hakuna uhusiano wa India na madhambi yaliyotendeka wakati wa utumwa. Nawakilisha.
wewe nawe yanga,umeandika utumbo mtupu,ukiyataka hayo hautokutana na msafi dunia hii,umasikini ni ugonjwa mbaya sana...tatizo hamjadili hoja mnamjadili mtu, mara wewe yanga wakati hakuna sehemu aliyozungumzia yanga au simba.Kwani hamjui jinsi gani Mohamed enteprises walivyokuwa wanatumia rushwa au udhaifu wa serikali kujipatia hiyo pesa ya haraka.hivi wakati swala la chakula kibovu lilipoibuka na mashahidi wote wakafariki mlikuwa wadogo au mlikuwa hamjazaliwa.sasa hivi serikali inataka kuwanyang'anya mashamba ya mkonge ambayo badala ya kuyaendeleza wamechukua mkopo benki na kulima sehemu ndogo tuyako mambo mengi ambayo mengine yako wazi na mengine yamejificha ila kwa sababu wengi mnadanganywa na uwekezaji wake kwenye mpira
Nilikuwa sijui kumbe Mo ni mwarabu. Punguza hasira dada kumbe hata hivyo haumfahamu.You have nothing to tell us,,,,,,,mlitumia mianya ya udhaifu wa vizazi vilivyopita mkajipatia utajiri wa kishenzi dhuluma uuaji wa tembo na rushwa
kuanzia sasa hivi learn how to shut that small mouth up!!!kwanza mliuza babu zetu utumwani na mkawaua kwa kuwatesa,,i hate you,,wewe ni kizazi cha uovu na akili zako zimejaa uovu hakuna jambo lolote unaweza kuwaambia watanzania nenda kwenu huko uarabuni ukapigane na waarabu wenzio huko
Akifiria yanga walivyo na njaa maneno yanamtoka tuNi hii hii Post yake tu?
Au kuna jingine?
Kabisa mkuu, huyu mtu ni maskini wa fikra na kila kitu hapo anatafuta kujipooza kwa kutema shit.Ukiwa masikini lazima umchukie Tajiri