Mohamed Said na Haji Manara Wamwadhimisha Mzee Mustafa Songambele (1925 - 2025)

Mohamed Said na Haji Manara Wamwadhimisha Mzee Mustafa Songambele (1925 - 2025)

Mzee Songambele ajazaliwa Dar

Kaja mjini kwa sababu ya kumsindikiza rafiki yake.

Alikuwa rafiki wa Kawawa wakiwa Songea.

Kawawa wakati anajiandaa kwenda kujiunga na harakati za uhuru, ili asiwe mpekwe akamshawishi na rafiki yake Songambele amsindikize.

Kawawa na Songambele wameenda na bus moja.

Uwe unafanya research zako kwa kina.
 
Mzee Songambele ajazaliwa Dar

Kaja mjini kwa sababu ya kumsindikiza rafiki yake.

Alikuwa rafiki wa Kawawa wakiwa Songea.

Kawawa wakati anajiandaa kwenda kujiunga na harakati za uhuru, ili asiwe mpekwe akamshawishi na rafiki yake Songambele amsindikize.

Kawawa na Songambele wameenda na bus moja.

Uwe unafanya research zako kwa kina.
Maskini rafiki yangu ameondoka! Sikujua hili. Alikuwa mentor wangu wa maana.
 
Mzee Songambele ajazaliwa Dar

Kaja mjini kwa sababu ya kumsindikiza rafiki yake.

Alikuwa rafiki wa Kawawa wakiwa Songea.

Kawawa wakati anajiandaa kwenda kujiunga na harakati za uhuru, ili asiwe mpekwe akamshawishi na rafiki yake Songambele amsindikize.

Kawawa na Songambele wameenda na bus moja.

Uwe unafanya research zako kwa kina.
Mayor...
Kuna mahali imesemwa Songambele amezaliwa Dar es Salaam?
 
Mayor...
Kuna mahali imesemwa Songambele amezaliwa Dar es Salaam?
Kwakweli hilo sijasikia.

Binafsi niliishia uliposema inawezekana yeye alimtafutia kiwanja Nyerere Magomeni. Ume imply sana kwenye interview kama vile kakulia Dar.

Kingine Magomeni ya Nyerere kipindi cha uhuru, ilikuwa pori; mitaa ya Kimara ukisogea mbele kidogo tu Kimara unaweza kutana na Simba. Hakukuwa na mission yeyote kupata kiwanja.

Naheshimu sana jitihada zako za kuadhitia harakati za uhuru na historia ya Dar inaelimisha, ila kuwe na facts. Nadhani Nyerere alifika Dar kabla ya kawawa pia.
 
Kwakweli hilo sijasikia.

Binafsi niliishia uliposema inawezekana yeye alimtafutia kiwanja Nyerere Magomeni. Ume imply sana kwenye interview kama vile kakulia Dar.

Kingine Magomeni ya Nyerere kipindi cha uhuru, ilikuwa pori; mitaa ya Kimara ukisogea mbele kidogo tu Kimara unaweza kutana na Simba. Hakukuwa na mission yeyote kupata kiwanja.

Naheshimu sana jitihada zako za kuadhitia harakati za uhuru na historia ya Dar inaelimisha, ila kuwe na facts. Nadhani Nyerere alifika Dar kabla ya kawawa pia.
Mayor...
Rashid Mfaume Kawawa alimtangulia Nyerere kufika Dar es Salaam.
 
Kawawa alijiunga na TAA mwaka gani?
Gagnija,
Sijui tarehe ya lini Rashidi Mfaume Kawawa alijiunga na TAA lakini Nyaraka za Sykes zinaonyesha kuwa mwaka wa 1951 Mzee Kawawa alikuwa mjumbe katika Kamati Kuu ya Tanganyika Government Servant Association (TAGSA)pamoja na Ally Sykes (Katibu), Dr. Wilbard Mwanjisi, Thomas Marealle kwa kuwataja wachache.

Hawa wote walikuwa wanachama wa TAA.
 
Back
Top Bottom