I wonder why we are being hypocritical. Nadhani kifo cha ndugu yetu Med kimepunguza drug baron mmoja. Nashangaa kuona wengine wanasema mungu amechukua mtu mzuri, may be we have different definitions of goodness. Kwa maana nyingie dawa za kulevya zitapungua kiasi kabla ya kumpata drug baron mwingine. Kuba baadhi ya members kwenye jamii kuwapoteza ni blessing in disguise na wengine kuwapoteza ni hasara kubwa. Let us call a snake snake.