ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 16,286
- 31,682
Kibu anacheza sababu ndio mwenye unafuu kwa walio bench ila in reality hakuna mchezaji paleMakocha wanamuelewa, kuanzia wa Simba hadi wa timu ya Taifa. Onyesha cheti chako
Kibu anacheza sababu ndio mwenye unafuu kwa walio bench ila in reality hakuna mchezaji paleMakocha wanamuelewa, kuanzia wa Simba hadi wa timu ya Taifa. Onyesha cheti chako
Inauma Sana Sana kwanini tumedhalilika ivyoo kwanini? Yaan sikuona kukamia mechi kukaba man to man.Kila siku huwa tunagharamiwa na back pass, na vile defence yetu sio ngumu kivilee ktk match za temptation,
Jana mabao yote yametokana na back pass, ambazo nazo hazikua sahihi, ndo tukapoteza hivyo.
Wachezaji wanaonekana wamechoka mno, sijui kisa match mfululizo za viporo, Daah
Usifikiri watu wanapiga pasi za nyuma kwa kupenda.
Hapana uwezo mdogo wa ku hold mipira kwa wachezaji wa Simba dhidi ya pressing ya wachezaji wa Berkane ndio sababu.
Mana ukiwa na mpira ukitaka kupasia mbele unakuta wachezaji wenzio wote walio karibu wako marked kiasi hata ukimpasia unaona hatoweza kuumiliki.
Hii ndio sababu ya back passes na mara nynigi hutokea mnapokuwa na wachezaji wa quality dogo dhidi ya timu inayokaba kwa nguvu na yenye wachezaji wenye quality kubwa kuliko wewe.
Hussei alicheza vizuriKwanza huyu Hussein hata ukapteni sijui alipewa kwa vigezo vipi, anapenda mpira wa kurudi nyuma ili kumsumbua kipa. Jana goli la pili lilianzia kwake kwa kurudisha mpira nyuma makusudi tena kwa shuti Kali, ambapo kipa ilibidi aforce kulizuia na kujikuta anampigia Abdullazak ambaye ni beki wa hovyo.
Yule dogo ni mchoyo sanaSijawahi ona mchezaji mchoyo kama jini chazi ambua.
Jifunze basi kutumia punctuation marks.Nimeongea mimi sijasema makocha wewe kocha niambia nini anachangia kwenye team, assist? zero, goal? msimu mzima mawili moja. kukimbia tu manguvu kuji position tu hajui ndio maana alivyoenda huko kufanya majaribio tena sijui Norway akaambiwa huwezi. Mpira ni akili sio maguvu.
Mabeki wa kucheza mipira mirefu wapo sasa? Unajua kuna tofauti ya kucheza mipira mirefu na kubutua mbele?Kilichotugharimu jana ilikuwa ni backpass... Ukiangalia magoli yote mawili yalianzia kwa wachezaji kupoteza mpira kutokana na back pass... Na hata hatari nyingi za Berkane zilitokana na wachezaji wetu kupoteza mipira kwenye mazingira hatari due to back pass.
Simba waepuke Sana pasi za nyuma, wajifunze kupiga mipira mirefu mbele kuliko kumlazimisha kucheza vi pass kwenye presha
Ukuangakia mpira goli la pili baada ya kipa kupiga ule mpira wa Kasi kagoma wakati anataka kuumiliki akafanyiwa press na mchezaji wa berkane akanyang'anywa ikaletwa oasi kwenye box la Simba jamaa wakafungaKwanza huyu Hussein hata ukapteni sijui alipewa kwa vigezo vipi, anapenda mpira wa kurudi nyuma ili kumsumbua kipa. Jana goli la pili lilianzia kwake kwa kurudisha mpira nyuma makusudi tena kwa shuti Kali, ambapo kipa ilibidi aforce kulizuia na kujikuta anampigia Abdullazak ambaye ni beki wa hovyo.
Mpira kabla ya kufika kwa kipa ulirudishwa nyuma na Hussein bila sababu ya msingi na ulikuwa na kasi kipa akawa ameuhold kwa kuupiga with no care maana asingeza kuishika,Ukuangakia mpira goli la pili baada ya kipa kupiga ule mpira wa Kasi kagoma wakati anataka kuumiliki akafanyiwa press na mchezaji wa berkane akanyang'anywa ikaletwa oasi kwenye box la Simba jamaa wakafunga
Hii ndio Tz bhana. Mnajua kuchambua sana hasa timu ikikosa ushindi, kwa kifupi mnamaliza kila kitu. Anyway, mchezaji anaflop au kiwango kinabaki ktk ubora. Ni kawaida. Leo mnashangaa Hamza kupotea. Unadhani atakuwa 100% kila siku??!Kwanza huyu Hussein hata ukapteni sijui alipewa kwa vigezo vipi, anapenda mpira wa kurudi nyuma ili kumsumbua kipa. Jana goli la pili lilianzia kwake kwa kurudisha mpira nyuma makusudi tena kwa shuti Kali, ambapo kipa ilibidi aforce kulizuia na kujikuta anampigia Abdullazak ambaye ni beki wa hovyo.
Hamza aliicost team kule Algeria kwa Constantine tena goli zote mbili na Jana kafanya upuuzi uleile.Hii ndio Tz bhana. Mnajua kuchambua sana hasa timu ikikosa ushindi, kwa kifupi mnamaliza kila kitu. Anyway, mchezaji anaflop au kiwango kinabaki ktk ubora. Ni kawaida. Leo mnashangaa Hamza kupotea. Unadhani atakuwa 100% kila siku??!
Sahihi lakini hata wachambuzi wengi wameliingekea kwa kuona Ile hatari ya Hussein ilishaondolewa na kipa. Na nafikili labda kagoma akudhani kuwa Kuna mpinzani karibu yake anakuja.Mpira kabla ya kufika kwa kipa ulirudishwa nyuma na Hussein bila sababu ya msingi na ulikuwa na kasi kipa akawa ameuhold kwa kuupiga with no care maana asingeza kuishika,
Game ngumu hatua hii. Huwezi pata ladha halisi ya Simba SC, ukichambua utaona makosa mengi sana. Ndio maana Leo wachezaji kadhaa wameongelewa kwa ku-perform kinyume na uwezo wao.Kila siku huwa tunagharamiwa na back pass, na vile defence yetu sio ngumu kivilee ktk match za temptation,
Jana mabao yote yametokana na back pass, ambazo nazo hazikua sahihi, ndo tukapoteza hivyo.
Wachezaji wanaonekana wamechoka mno, sijui kisa match mfululizo za viporo, Daah
Kocha alichukua hatua ndio maana magoli yaliyofungwa yalibaki yale yake. La sivyo ungeona kono la nyani pale baada ya 90+. Tungebaki tunazungumza mengi zaidi ya haya ya leoShida ni Kocha, nadhani huyu ndo muumini wa back pass, na haambiliki kwa hilo. Jana Berkane sikuona wao wakicheza huo ujinga wa back pass.
Lakini haimalizi uwezo wake. Mistakes ni kawaida. Che Fondoh Malone naye aliwahi fanya hivyo. Lkn Jana alipoingia alimalizia vzr. Kumhukumu mchezaji 100% si sahihi, unaweza ona makosa kwa wachezaji wote tangu michuano ianze.Hamza aliicost team kule Algeria kwa Constantine tena goli zote mbili na Jana kafanya upuuzi uleile.
Umeelewa au hujaelewa? ndio ujinga unaowatia umaskini wa kukariri darasani.Jifunze basi kutumia punctuation marks.
Kweli kabisaa.Game ngumu hatua hii. Huwezi pata ladha halisi ya Simba SC, ukichambua utaona makosa mengi sana. Ndio maana Leo wachezaji kadhaa wameongelewa kwa ku-perform kinyume na uwezo wao.
😂😂😂😂😂 khaaahInauma Sana Sana kwanini tumedhalilika ivyoo kwanini? Yaan sikuona kukamia mechi kukaba man to man.
Hawa waarabu wakicheza na MBAGALA MARKET...MTU AKIPATA MPIRA ANABUTUA MBELE..KABA KWA KUTUMIA MBINU YA KUTIBUA SIO KUKABIA MACHO NA KUCHEZA BILA AKILI.
NDIO MAANA NIMESEMA BEKI ZA SIMBA ZINAKABA KAMA WANAMWAYA WAKISABATO 😊
Mechi ya marudiano Simba 3-0 Berkane .Tunza hii comment.Simba bingwa 😂