Mohamed Hussein na Abdullazak ni Vimeo simba

Mohamed Hussein na Abdullazak ni Vimeo simba

Aisee ni kweli alijivunja hakukua na contact yeyote serious aliamua kukwepa lawama kiaina. Yaleyale ya Enonga
Injuries kwa athlete sio lazima kuwe na contact.
kama huwa unafuatilia michezo utaona mara kadhaa mchezaji anakimbia au yuko mwenyewe, mara ghafra anakaa chini,
Mara nyingi inakuwa ni majeraha ya misuli.
 
Kila siku huwa tunagharamiwa na back pass, na vile defence yetu sio ngumu kivilee ktk match za temptation,
Jana mabao yote yametokana na back pass, ambazo nazo hazikua sahihi, ndo tukapoteza hivyo.

Wachezaji wanaonekana wamechoka mno, sijui kisa match mfululizo za viporo, Daah
 
Makocha wanamuelewa, kuanzia wa Simba hadi wa timu ya Taifa. Onyesha cheti chako
Nimeongea mimi sijasema makocha wewe kocha niambia nini anachangia kwenye team, assist? zero, goal? msimu mzima mawili moja. kukimbia tu manguvu kuji position tu hajui ndio maana alivyoenda huko kufanya majaribio tena sijui Norway akaambiwa huwezi. Mpira ni akili sio maguvu.
 
Kwanza huyu Hussein hata ukapteni sijui alipewa kwa vigezo vipi, anapenda mpira wa kurudi nyuma ili kumsumbua kipa. Jana goli la pili lilianzia kwake kwa kurudisha mpira nyuma makusudi tena kwa shuti Kali, ambapo kipa ilibidi aforce kulizuia na kujikuta anampigia Abdullazak ambaye ni beki wa hovyo.
Jana hata possession yenu ilitokana na kucheza kwenye eneo lenu na si la mpinzani ndio maana hamna hata short on target moja kwa dk zote za mchezo.
 
Kilichotugharimu jana ilikuwa ni backpass... Ukiangalia magoli yote mawili yalianzia kwa wachezaji kupoteza mpira kutokana na back pass... Na hata hatari nyingi za Berkane zilitokana na wachezaji wetu kupoteza mipira kwenye mazingira hatari due to back pass.

Simba waepuke Sana pasi za nyuma, wajifunze kupiga mipira mirefu mbele kuliko kumlazimisha kucheza vi pass kwenye presha
Usifikiri watu wanapiga pasi za nyuma kwa kupenda.

Hapana uwezo mdogo wa ku hold mipira kwa wachezaji wa Simba dhidi ya pressing ya wachezaji wa Berkane ndio sababu.

Mana ukiwa na mpira ukitaka kupasia mbele unakuta wachezaji wenzio wote walio karibu wako marked kiasi hata ukimpasia unaona hatoweza kuumiliki.

Hii ndio sababu ya back passes na mara nynigi hutokea mnapokuwa na wachezaji wa quality dogo dhidi ya timu inayokaba kwa nguvu na yenye wachezaji wenye quality kubwa kuliko wewe.
 
Kila siku huwa tunagharamiwa na back pass, na vile defence yetu sio ngumu kivilee ktk match za temptation,
Jana mabao yote yametokana na back pass, ambazo nazo hazikua sahihi, ndo tukapoteza hivyo.

Wachezaji wanaonekana wamechoka mno, sijui kisa match mfululizo za viporo, Daah
Hamna cha kuchoka wala nini...kwanza mkumbuke mmecheza na bingwa wa Morocco, pili ubora wa Berkane game ya jana ulikuwa juu. Majamaa yanakaba sio kitoto.

Zile dk4-5 kipindi cha kwanza mashabiki wa Simba wakaanza kujazana upepo ooohh tunawamudu mara wepesi kumbe lilikuwa swala la muda kuamua, hatimae yametokea tuliyo yashuhudia
 
Kwanza huyu Hussein hata ukapteni sijui alipewa kwa vigezo vipi, anapenda mpira wa kurudi nyuma ili kumsumbua kipa. Jana goli la pili lilianzia kwake kwa kurudisha mpira nyuma makusudi tena kwa shuti Kali, ambapo kipa ilibidi aforce kulizuia na kujikuta anampigia Abdullazak ambaye ni beki wa hovyo.
Hiyo ndio Berkane ya Morroco, kwa taarifa yako Morocco iko level za Ulaya. Mmekutana na mpira mkubwa/mpira wa akili kubwa mnaanza kulaumiana wenyewe Kenge nyie. Kama kwa JKT na Mashujaa tu unahonga refa unatarajia utawafunga hawa.
 
Hamna cha kuchoka wala nini...kwanza mkumbuke mmecheza na bingwa wa Morocco, pili ubora wa Berkane game ya jana ulikuwa juu. Majamaa yanakaba sio kitoto.

Zile dk4-5 kipindi cha kwanza mashabiki wa Simba wakaanza kujazana upepo ooohh tunawamudu mara wepesi kumbe lilikuwa swala la muda kuamua, hatimae yametokea tuliyo yashuhudia
Na waishukuru sana kamati yao ya UBAYA UBWELA kufika mpaka kwa marefa wa VAR.
Lile goli la tatu sijui hata limekataliwa kwa offside gani plus penalti mbili ambazo refa alikataa kwenda kujiridhisha kwenye VAR na Ile foul iliyotokea karibu na box upande wa kuli wa goli.
 
Hamna cha kuchoka wala nini...kwanza mkumbuke mmecheza na bingwa wa Morocco, pili ubora wa Berkane game ya jana ulikuwa juu. Majamaa yanakaba sio kitoto.

Zile dk4-5 kipindi cha kwanza mashabiki wa Simba wakaanza kujazana upepo ooohh tunawamudu mara wepesi kumbe lilikuwa swala la muda kuamua, hatimae yametokea tuliyo yashuhudia
Na waishukuru sana kamati yao ya UBAYA UBWELA kufika mpaka kwa marefa wa VAR.
Lile goli la tatu sijui hata limekataliwa kwa offside Gani plus penalti mbili ambazo refa alikataa kwenda kujiridhisha kwenye VAR na Ile foul iliyotokea karibu na box upande wa kulia wa goli
 
Hiyo ndio Berkane ya Morroco, kwa taarifa yako Morocco iko level za Ulaya. Mmekutana na mpira mkubwa/mpira wa akili kubwa mnaanza kulaumiana wenyewe Kenge nyie. Kama kwa JKT na Mashujaa tu unahonga refa unatarajia utawafunga hawa.
Mtu mmoja kasema mkono wa Karia haufiki Morocco. Berkane ni bingwa wa Morocco. 25/26 wanaingia club bingwa kingine wale wachezaji mnyumbuliko wao hasa wanapokua na mpira ni habari ingine.. Kibu D kazi kukimbia na vichenga vyake vya uongo na kweli kisha anaporwa nyeupe
 
Na waishukufu sana kamati yao ya UBAYA UBWELA kufika mpaka kwa marefa wa VAR.
Lile goli la tatu sijui hata limekataliwa kwa offside Gani plus penalti mbili ambazo refa alikataa kwenda kujiridhisha kwenye VAR na Ile fohl iliyotokea karibu na box upande wa kulia
Mikia ni wapiga kelele wazuri..jana wamekabiwa juu pumzi ikakata. Wiki hii yote utasikia kwa Mkapa hatoki mtu
 
Mimi sijawahi kumuelewa Kibu ni defender au kiungo au mshambualji naona mtu fulani hana mchango wowote zaidi ya maguvu tu akili ya mpira zerooooooooo.
Huwa nashangaa sana watu wanavyomkubali jamaa! Yaani mashabiki wa Simba na Yanga wote utawakuta wakimuaminia kwelikweli.

Akikutana na mabeki wenye akili kama wa jana hawezi kufanya chochote, ila ajabu hata humu tayari kuna wana wanasema jana kaubonda mwingi!
 
Kwanza huyu Hussein hata ukapteni sijui alipewa kwa vigezo vipi, anapenda mpira wa kurudi nyuma ili kumsumbua kipa. Jana goli la pili lilianzia kwake kwa kurudisha mpira nyuma makusudi tena kwa shuti Kali, ambapo kipa ilibidi aforce kulizuia na kujikuta anampigia Abdullazak ambaye ni beki wa hovyo.
Na bado..!! Mpaka msemeeeee...!! Mtamkataa kila mtu kule
 
Kila siku huwa tunagharamiwa na back pass, na vile defence yetu sio ngumu kivilee ktk match za temptation,
Jana mabao yote yametokana na back pass, ambazo nazo hazikua sahihi, ndo tukapoteza hivyo.

Wachezaji wanaonekana wamechoka mno, sijui kisa match mfululizo za viporo, Daah
Quality ndio ina amua mngecheza na Kagera sugar hapo ungenuona Mpanzu kama Ronaldo
 
Back
Top Bottom