GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,068
- 16,381
Injuries kwa athlete sio lazima kuwe na contact.Aisee ni kweli alijivunja hakukua na contact yeyote serious aliamua kukwepa lawama kiaina. Yaleyale ya Enonga
kama huwa unafuatilia michezo utaona mara kadhaa mchezaji anakimbia au yuko mwenyewe, mara ghafra anakaa chini,
Mara nyingi inakuwa ni majeraha ya misuli.