kibovu
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 661
- 686
Igweeeeeeeeeeeeeee,
Wakuuu Kuna hizi scholarship za watumishi wa umma mofcom maombi yake yanayopitia utumishi zilizokuwa zimefunguliwa mwezi MAY
Je scholarship hizi zina usaili (interview) ?
Kwa sababu kunajamaaa mmoja aliaply mwaka juz ameniambia kulikuwa na usaili (interview)
Naomba wadau wanaofaham juu ya hili wanipe mrejesho
Natanguliza shukrani zangu za zati Asante
.
Wakuuu Kuna hizi scholarship za watumishi wa umma mofcom maombi yake yanayopitia utumishi zilizokuwa zimefunguliwa mwezi MAY
Je scholarship hizi zina usaili (interview) ?
Kwa sababu kunajamaaa mmoja aliaply mwaka juz ameniambia kulikuwa na usaili (interview)
Naomba wadau wanaofaham juu ya hili wanipe mrejesho
Natanguliza shukrani zangu za zati Asante
.