Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,742
- 18,479
Nimeweka Uzi wangu humu kama Mara mbili unaohusiana na MD lakin baadae nikija kuchek siuoni...ni kwamba mnafuta ama VP ? Na kama ndio kwann? Au kuna sehemu mnauhamishia? Na kama ndio kwann hamni direct ulipo?