LABDA KAMA UNA KIWANDA CHAKO CHA VIFAA😀😀 NA KWANN UNAFIKIRI WW UKISIMAMA NDO UTAPATA URAHISI ,SO UNAHISI ME NKIKUJENGEA NDO NTAPATA FAIDA 45M NISINGEKUWA NA POST HUKU MDA HUU KAMA KAZI MOJA NAPATA FAIDA 45M NINGEKUWA BEACH NAKUNYWA JUICEHii ukisimamia mwenyewe kwa force account 200m na chenji inabaki!
😀😀😀tulia vzrMjumba wote huo halafu unatumia chumba kimoja tu.
Hata ukisema ni ya kupangisha, hamna guarantee ya kumpata mpangaji wa muda mrefu. Na ukifa tu, watoto wanauza.
Bora hiyo pesa uwawekee benki tu, au itumie kufaidi maisha.
Haiwezekani, hata nikipewa miaka 1000🤣YOU CAN STILL MAKE BILA KUIBA 😀 😀