B barnabie Member Joined Jul 13, 2011 Posts 44 Reaction score 6 Mar 20, 2012 #1 huawei e220 hsdpa usb modem zinauzwa,ni pm
nyambari JF-Expert Member Joined Nov 3, 2010 Posts 355 Reaction score 172 Mar 20, 2012 #2 toa mawasiliano basi tukucheki mkuu
N NDOFU JF-Expert Member Joined Feb 23, 2009 Posts 656 Reaction score 145 Mar 20, 2012 #3 kijana fanya utaratibu wa kuweka namba za simu bwana hau hizo modem za wizi nini kuwa muwazi wadau tunazitaka tukazichakachue
kijana fanya utaratibu wa kuweka namba za simu bwana hau hizo modem za wizi nini kuwa muwazi wadau tunazitaka tukazichakachue
Osaba JF-Expert Member Joined Apr 10, 2011 Posts 1,943 Reaction score 806 Mar 21, 2012 #4 NDOFU said: kijana fanya utaratibu wa kuweka namba za simu bwana hau hizo modem za wizi nini kuwa muwazi wadau tunazitaka tukazichakachue Click to expand... Weka namba ya cm basi
NDOFU said: kijana fanya utaratibu wa kuweka namba za simu bwana hau hizo modem za wizi nini kuwa muwazi wadau tunazitaka tukazichakachue Click to expand... Weka namba ya cm basi
mpendaMaendeleo JF-Expert Member Joined Sep 21, 2010 Posts 279 Reaction score 35 Mar 22, 2012 #5 Nitumie nahitaji sana moderm za airtel, Tz hakuna zain tena angalieni msije uziwa kanyaboya
ndetichia Platinum Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,769 Reaction score 6,588 Mar 22, 2012 #6 mpendaMaendeleo said: Nitumie nahitaji sana moderm za airtel, Tz hakuna zain tena angalieni msije uziwa kanyaboya Click to expand... kampuni mama ni celtel mkuu...
mpendaMaendeleo said: Nitumie nahitaji sana moderm za airtel, Tz hakuna zain tena angalieni msije uziwa kanyaboya Click to expand... kampuni mama ni celtel mkuu...
H HAMY-D JF-Expert Member Joined Sep 18, 2011 Posts 7,146 Reaction score 3,829 Apr 2, 2012 #7 Huyu jamaa hayuko serious, kuhusu modem za zain zipo ila chache na ndio ninatumia.
mfianchi Platinum Member Joined Jul 1, 2009 Posts 11,943 Reaction score 8,486 Apr 2, 2012 #8 Au za magumashi ,modem za airtel zinauzwa mara 3 ya hiyo bei
J jmnamba Senior Member Joined Mar 31, 2012 Posts 156 Reaction score 28 Apr 2, 2012 #9 Hiyo bei mhh! Au ndio mjini hapa...?