Ni modem zote mkuu zinayo sehemu ya kuweka memor, Airtel modem, sehemu unayoweka line angalia pembeni kushoto kuna open space, voda modem angalia pembeni yake kuna kifuniko.zantel pale kwenye shingo pana kanafasi ndio hapo..Ni kweli mkuu... Nimefanikiwa kuzichakachua kirahisi kama vile kumsukuma mlevi... Ubarikiwe sana mkuu. Nimeweka line ya voda inafanya kazi vizuri tu na ya Airtel nimeweka imekubali, ila sijatumia net yake kwani sijaisajili line yake bado.
Pia hizi modem unaweza kuzitumia kama flash disk kama ukiweka memory.
Joinair ya tigo inasehemu ya kurecharge rahisi kabisa kama vile unavyo weka voucher kwenye simu, haina sehemu ya ku-call, unaweza kutuma sms.itabidi nikanunue mapema hi ki2.maana dah,cyo cri mimi ninatumia ya voda zte,inaleta karaha,nikieka lain tofauti na voda,kama vile airtel,inabidi nieke kwenye simu ndo nirecharge,cz joinair huwezi ku cal.so guys kwa aliyetest je ukishachakachua,inakubali lain zote kucal n kusend message?n wht z da default speed ya hz modem zao?yaani max speed modem inaweza kuhandle?
mganyizi naomba utuelezee zaidi jinsi kurecharge
Kama umekwisha kui-unlock ukiitumia kwenye mitandao mingine inafanya kazi vizuri ile mbaya... mimi nimeweka line ya Airtel ina speed ile mbaya mda mwingine inafika hadi 2Mbps. line ya tigo nimeitupa kabisa.na vipi mkitumia internet na lain nyingine apart frn tgo,inakuwaje,fresh?lets say voda ama airtel?hi ni kwale ambao wameshatest,wa2pe feedback.
Kama umekwisha kui-unlock ukiitumia kwenye mitandao mingine inafanya kazi vizuri ile mbaya... mimi nimeweka line ya Airtel ina speed ile mbaya mda mwingine inafika hadi 2Mbps. line ya tigo nimeitupa kabisa.
Mkuu,kusema ukweli zantel mwanzoni walikuwa na huduma nzuri sana, ila kwa sasa speed yao imekuwa ndogo baada ya kupata wateja wengi na hawajataka kuboresha hadi leo, pia sasa hivi wameleta mashart yao ya ajabu ajabu... kwa upande wangu sina mpango wakurudi tena Zantel na modem yangu nimeshaigawa....So Mganyizi unasemaje kuhusu Service ya Zantel ukilinganisha na Airtel. Mimi nilikuwa mteja wa Znatel ila nimesusa service yao lakini niko kwenye Dialema
Asante
poa poa,so kurecharge kwa airtell ni same menthod kama unavyorecharge na tgo?
Let me point out here that i have no Idea hizo modems zinafanana vipi. I therefore requst for two things. Make (mfano Huawei) and model (mfano E1550) kama kuna mtu anayo please kindly tutajie hiyo promo ni make gani na ni model gani.
tmrw am gna buy the modem guys.nitapost matekeo ya uchakachuaji.
yeah,,imekubali!!!!
niko na airterll hapa!!!!
jaman ma xpert hz modem za zantel zenye sehem ya kueka line mfano EC122 zinachakachulika?