Nicky82
JF-Expert Member
- Mar 14, 2009
- 941
- 64
Wakuu naomba kujua kama hizo modem za tiGO zina chakachulika ili ni wanunulie vijana wangu wajimwage na Airtel,
wamezishusha bei hadi TSH 30,000.
Mkuu zinachakachulika kirahisi sana.............dakika kumi nyingi. Tena ukishaichakachua ukaweka line ya Airtel infanya kazi vizr sana