Kitambo sana kuna mwamba mmoja aliniulizia modema kama hyo...ila kwa sasa simpat hewan...so mwenye kujua wap naweza kupata modem kama hyo...na kama unafahamu niambie bei yake ina range vip?
Na ili kuifanya isome laini yeyote basi fuata maelekezo hapa
- Kwa sasa tafuta hii modem
- HUAWEI E303H Download Speed ni 14Mps
- Zinauzwa kwenye maduka ya Tigo kwa tsh 25'000 /- { Kipindi cha offer waliziuza tsh 15'000 }