Wadau nsaada, nahitaji kutumia modemu ya Zantel ila sijui namna ya kutumia vifurushi mbalimbali ili kubana matumizi. Nikiweka salio la alfu 5 ndani ya dk 45 nakuwa sina salio! Msaada wadau
Nilisahau kukupa maelezo ya kutosha mkuu,ni kwamba inabidi uwe na laini ya zantel kwenye simu ndio utaratibu huo unaufuata baada ya kupiga hizo namba na kuna mahali utatakiwa ujaze moderm namba....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.