Modem ya Zantel

Magehema

JF-Expert Member
Aug 11, 2008
428
27
Wadau nsaada, nahitaji kutumia modemu ya Zantel ila sijui namna ya kutumia vifurushi mbalimbali ili kubana matumizi. Nikiweka salio la alfu 5 ndani ya dk 45 nakuwa sina salio! Msaada wadau
 
Very strange mboni haikubali inaniambia namba niliyopiga sii sahihi!

Nilisahau kukupa maelezo ya kutosha mkuu,ni kwamba inabidi uwe na laini ya zantel kwenye simu ndio utaratibu huo unaufuata baada ya kupiga hizo namba na kuna mahali utatakiwa ujaze moderm namba....
 
Back
Top Bottom