Modem ya mtandao upi itanifaa?

Modem ya mtandao upi itanifaa?

tindikalikali

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
4,854
Reaction score
1,139
Wana jf habari zenu? Nimesikia malalamiko mengi kuhusu modem za tigo na airtel pia, vp kuhusu Zantel na Ttcl? Cost vs efficiency vinahusika
 
Wana jf habari zenu? Nimesikia malalamiko mengi kuhusu modem za tigo na airtel pia, vp kuhusu Zantel na Ttcl? Cost vs efficiency vinahusika
TTCL wapo kisiasa zaidi they dont means business, covarage yao ndogo bundel sio affordable sana na unakuwa limited kutumia ttcl tu, modem zao hazina machakachuzi.

ZANTEL walinza vizuri sana lakini baada ya kushiba customer wamegeuka bundle zao wizi mtupu, modem zao hazina utundu.

SASATEL hawa nao wapo wapo tu kama hawapo covarage yao ndogo sana tena hapa dar tu, modem zao hazina utundu.

VODA ipo powa kwa bundle za juu mfano elf30 unlimited mwezi, kwa walala hoi maumivu, covarage ya kutosha na cha ziada modem zao zinachakachulika so u can use it kwa tigo na airtel,pei ya modem ipo juu

AIRTEL hawa jamaa kwa sasa ni kimbilio la walala hoi na bundle yao ya mb 400 kwa tsh 2500, covarage wapo powa tatizo lao modem zao hazichakachuliki na bei ipo juu

TIGO wageni sokoni bundle zao angalau, covarage kimtindo sio sana, modem zao bei powa na zinachakachulika kwa kutumia na voda na airtel

pima chagua,
ushauri tigo inafaa, bei ndogo rahisi kuchakachua, unakuwa flexble kwa tigo,voda na airtel. au nunua ya voda nayo inachachulika ila bei kubwa kidogo.
Sikushauri ttcl,zantel na sasatel kwa uchumi wetu wa kibongo bongo labda kama upo njema
 
TTCL wapo kisiasa zaidi they dont means business, covarage yao ndogo bundel sio affordable sana na unakuwa limited kutumia ttcl tu, modem zao hazina machakachuzi.

ZANTEL walinza vizuri sana lakini baada ya kushiba customer wamegeuka bundle zao wizi mtupu, modem zao hazina utundu.

SASATEL hawa nao wapo wapo tu kama hawapo covarage yao ndogo sana tena hapa dar tu, modem zao hazina utundu.

VODA ipo powa kwa bundle za juu mfano elf30 unlimited mwezi, kwa walala hoi maumivu, covarage ya kutosha na cha ziada modem zao zinachakachulika so u can use it kwa tigo na airtel,pei ya modem ipo juu

AIRTEL hawa jamaa kwa sasa ni kimbilio la walala hoi na bundle yao ya mb 400 kwa tsh 2500, covarage wapo powa tatizo lao modem zao hazichakachuliki na bei ipo juu

TIGO wageni sokoni bundle zao angalau, covarage kimtindo sio sana, modem zao bei powa na zinachakachulika kwa kutumia na voda na airtel

pima chagua,
ushauri tigo inafaa, bei ndogo rahisi kuchakachua, unakuwa flexble kwa tigo,voda na airtel. au nunua ya voda nayo inachachulika ila bei kubwa kidogo.
Sikushauri ttcl,zantel na sasatel kwa uchumi wetu wa kibongo bongo labda kama upo njema

nashukuru kwani umenipa yote, hyo bundle ya 400mb ya airtel ni limited?
 
Mi natumia sasatel, jero (500)tshs.unlimited 24hrz.Mi naona iko poa tu labda kama uko nje ya Dar hapo ni ngumu.
 
Je bundle ya 400mb airtel inatumika kwa 24hrs au zaidi?mimi natumia data siku ya 500 kwa 24 hrs lakini inaisha faster sana,naombeni mniwezeshe jinsi ya kuenrol 400mb.
 
Je bundle ya 400mb airtel inatumika kwa 24hrs au zaidi?mimi natumia data siku ya 500 kwa 24 hrs lakini inaisha faster sana,naombeni mniwezeshe jinsi ya kuenrol 400mb.

Tuma neno INTERNET kwenda 15444
 
Modem na Net iliopoa kwako ni ile unayohisi itakishi mahitaji yako na kulinganisha na kipato chako.
 
Mi natumia sasatel, jero (500)tshs.unlimited 24hrz.Mi naona iko poa tu labda kama uko nje ya Dar hapo ni ngumu.

Mkuu sasatel ni wahuni sana, hiyo bundle ya unlimited 24hrs kwa jero ni kwawale wanaotumia simu za sasatel kama modem na hii haiwahusu wenye modem za sasatel.
Speed yao ni kichefuchefu kwa bundle hii.
mimi ninayo modem ya sasatel the best bundle kwangu mimi ni sh 7500 unapata gb 1.6 kwa siku tisa,na speed yao inatia moyo
lakini nikiunga kwa simu kama modem niweke hiyo ya jero unlimited yaani speed huwezi kudownload file la mb 100 kwa siku,
 
Mkuu sasatel ni wahuni sana, hiyo bundle ya unlimited 24hrs kwa jero ni kwawale wanaotumia simu za sasatel kama modem na hii haiwahusu wenye modem za sasatel.
Speed yao ni kichefuchefu kwa bundle hii.
mimi ninayo modem ya sasatel the best bundle kwangu mimi ni sh 7500 unapata gb 1.6 kwa siku tisa,na speed yao inatia moyo
lakini nikiunga kwa simu kama modem niweke hiyo ya jero unlimited yaani speed huwezi kudownload file la mb 100 kwa siku,

Sasatel SpeedWeek+ Ni Bomba nilikuwa Zantel nimeachana nao baada ya kuleta Mizengwe kwenye Highlife yao.
 
kila m2 anapigia upatu mtandao anaoupenda au kuutumia yeye, sasa jamani eh upi bora? Au nayo mpaka tupige kura? Mjuzi yeyote wa mambo hayo au aliyetumia yote atoe ufafanuzi hapo tupate jibu la manufaa!
 
Wana jf habari zenu? Nimesikia malalamiko mengi kuhusu modem za tigo na airtel pia, vp kuhusu Zantel na Ttcl? Cost vs efficiency vinahusika

mimi nadhani ni kulingana na matumizi yako kama wewe ni mzee wa downloads nakushauri utumie ya ttcl. Lakini kama ni matumizi mengine ya kawaida tumia airtel au zantel japo nao wana matatizo yao but so far naona ttcl is the best one even for downloading coz speed inafika hadi 3mbsps
 
Je bundle ya 400mb airtel inatumika kwa 24hrs au zaidi?mimi natumia data siku ya 500 kwa 24 hrs lakini inaisha faster sana,naombeni mniwezeshe jinsi ya kuenrol 400mb.[/QUOT
You should spend it within a month from the date of buying the bundle, but if it end up before the date you can buy another bundle its good for real.
to buy the bundle send a message with worl "Internet" to 15444 then you will requested to reply by saying YES if you do as requested you will be joined to 400mb bundle.
NOTE; when doing all these make sure salio sio chini ya 2500
 
ttcl mobile na ttcl broadband kiboko bwana achana na hii kitu ingine yote!
 
Kifupi ni ivi kaka airtel ndo kila kitu kama upo mkoani ambako airtel ipo sina uhakika na zinginezo hasa ttcl na sasatel bt voda ,airtell,tigo ambazo ni known, air tell ni kiboko kwani 2500 unapata 4oomb kwa mwezi mzima na consuption yake ni naafuu kulinganisha na voda mimi huwa nadownload hadi 200mb kwa maramoja bila shida lakini nzuri zaidi ukipata zile moderm za kwanza zilizo adikwa zain halafu zenyewe nyeusi kwanza zinachakachulika halafu uwezo wake wa kushika network ni mkubwa kulinganisha na hizi za sasa pia ulaji wake ni kutokana na matumizi kama salio kwa simu bt hadi iishe utakuwa umefanya mambo mengi sana mimi ndio ninayo tumia mara zote nlisha jaribu voda na tigo hasa voda ni ghali sana 2000/= unapata 50mb halafu hufanyii kitu cha maana imeisha so kiushauri tafuta modem hiyo kaka.
 
Kifupi ni ivi kaka airtel ndo kila kitu kama upo mkoani ambako airtel ipo sina uhakika na zinginezo hasa ttcl na sasatel bt voda ,airtell,tigo ambazo ni known, air tell ni kiboko kwani 2500 unapata 4oomb kwa mwezi mzima na consuption yake ni naafuu kulinganisha na voda mimi huwa nadownload hadi 200mb kwa maramoja bila shida lakini nzuri zaidi ukipata zile moderm za kwanza zilizo adikwa zain halafu zenyewe nyeusi kwanza zinachakachulika halafu uwezo wake wa kushika network ni mkubwa kulinganisha na hizi za sasa pia ulaji wake ni kutokana na matumizi kama salio kwa simu bt hadi iishe utakuwa umefanya mambo mengi sana mimi ndio ninayo tumia mara zote nlisha jaribu voda na tigo hasa voda ni ghali sana 2000/= unapata 50mb halafu hufanyii kitu cha maana imeisha so kiushauri tafuta modem hiyo kaka.

Na kwa mcctizo hata tu mimi pia natumia hiyo ya airtel ni noumeeeeer aisee na download,na play game nasikiliza music na madudu mengine kibao nikichek salio ni kama bureeeeeeeeeeeee dah!
 
nilikuwa natumia voda buku 2 kwa 50mb, nikaichakachua sasa natwanga na airtel 2500 unapata 400mb kwa kusoma email, magazeti na majamiiforums tu inakaa zaidi wiki, sa mungu anipe nini tena? airtel ndo mpango mzima.
 
Back
Top Bottom