Kabaizer JF-Expert Member Oct 4, 2011 504 64 Sep 12, 2016 #1 wakuu poleni na tinga tinga nahitaj modem ya airtel hizi new model nyeupe 3g mwenye nayo tuwasiliane!
wakuu poleni na tinga tinga nahitaj modem ya airtel hizi new model nyeupe 3g mwenye nayo tuwasiliane!
Kabaizer JF-Expert Member Oct 4, 2011 504 64 Sep 13, 2016 Thread starter #3 KORBOTO said: Una bei gani? Taja kabisa Click to expand... 15k
Kabaizer JF-Expert Member Oct 4, 2011 504 64 Sep 13, 2016 Thread starter #5 geophrey20 said: Ipo hapa mtumbatu kwa tumbo chogo Click to expand... ukimaanisha?
Sahani20 JF-Expert Member Feb 11, 2013 1,519 740 Sep 13, 2016 #8 Nilitaka tu nikupanue kwa challenge. Ukihitaji kitu jarbu kuweka na specific place ambayo unaeza kua na access
Nilitaka tu nikupanue kwa challenge. Ukihitaji kitu jarbu kuweka na specific place ambayo unaeza kua na access
Kabaizer JF-Expert Member Oct 4, 2011 504 64 Sep 13, 2016 Thread starter #9 asante kwa ushauri napatikana dar
Sahani20 JF-Expert Member Feb 11, 2013 1,519 740 Sep 13, 2016 #10 Kabaizer said: asante kwa ushauri napatikana dar Click to expand... Ok. Gud luck
Kabaizer JF-Expert Member Oct 4, 2011 504 64 Sep 13, 2016 Thread starter #12 hiyo mpya tena ya 4G mi nahitaji mkononi ya 20000 kama unayo asante mkuu
Shark JF-Expert Member Jan 25, 2010 29,459 29,156 Sep 13, 2016 #13 geophrey20 said: Nilitaka tu nikupanue kwa challenge. Ukihitaji kitu jarbu kuweka na specific place ambayo unaeza kua na access Click to expand... Acha matusi Mkuu
geophrey20 said: Nilitaka tu nikupanue kwa challenge. Ukihitaji kitu jarbu kuweka na specific place ambayo unaeza kua na access Click to expand... Acha matusi Mkuu
Sahani20 JF-Expert Member Feb 11, 2013 1,519 740 Sep 13, 2016 #14 hahahahah hapana mkuu mi sio wagosi wa kaya, nilikua nampanua kimawazo bna Shark said: Acha matusi Mkuu Click to expand...
hahahahah hapana mkuu mi sio wagosi wa kaya, nilikua nampanua kimawazo bna Shark said: Acha matusi Mkuu Click to expand...