Ndokeji
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 698
- 475
kutokana na mgomo wa madactari unaoendelea nchini kote , hali katika hospitali ya temeke inazidi kuwa mbaya baada ya madactari wa hospitari hiyo kusitisha huduma,wagonjwa wanazidi kupoteza maisha na kusababisha kuongezeke kwa vifo ambapo uwezo wa mochwari kuhifadhi maiti ni 15 na sasa hivi imeongezeka kutoka 15 hadi 39 kwa siku , maiti zikiwekwa mbili mbili sehemu moja , msimamizi wa mochwari alalamika kutokana na hali hiyo kuzidi kuwa mbaya
source taarifa ya habari channel ten
source taarifa ya habari channel ten