hippocratessocrates
JF-Expert Member
- Jul 1, 2012
- 3,598
- 1,539
sijawai ku brick phone na nimeanza kujifanyia manual upgrading and hacking miaka mingi tu. sio kwamba namshawishi mtu ila manual updates and jail breaks are fairly easy and its very hard to brick modern phones. hao waliobrick zao wana shida zao. na hata ukibrick android ina system recovery moja tamuy mno, two secs unarudisha simu back to default firmware
Mkuu LEH. si kwamba namkataza mtu kufanya manual update..with iphone i agree it's easy to Jailbreak lakini kwa Android phones especially Samsung kidogo kuna ugumu,na baadhi ya walio_succeed ku-upgrade they admit how slow the phones are,compared to the desired effects..pia thru drippler nimejaribu kucheck katika forum nyingi, hata za Samsung wenyewe wanasema hivyo hivyo, ila ilikuwa ni ushauri tu mkuu.