Mobile Jamming system car

Mfano mzuri ni IED . Huwa zinatumia simu kuactivate...
 
lakini hivyo vifaa vyote visiposimamiwa vizuri vinawahi kupitwa na wakati na hackers wanagundua udhaifu wa kuvihack kwahiyo walinzi wa mzee wetu wajitahidi kujiongezea uzoefu ili wasije kupitwa na teknolojia
 
Kwahyo unataka niambia likwa kwenye msafaara wa raid mtu yeyote mwenye simu ndani ya radius ya 1km haifanyi kazi?
 
Huyu anajisumbua tu. Wakitaka kummaliza mbona rahisi tu. Tatizo muhovu sikuzoni huwa anajishtukia.
 
Wivu, wivuu, wivuuu
 
Tatizo huyu mjamaa anaogopa baada ya kujianzishia maadui mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…