Nadhani wapo wanaopita hapa watasikiaBora wapandishe bei tu maana wapenzi wa mo energy ni wengi sana hiyo mo xtra ni ya watoto tuu
Bora wapandishe bei tu maana wapenzi wa mo energy ni wengi sana hiyo mo xtra ni ya watoto tuu
Nadhan Bakhresa atakuja na Azam-Wenge inakuwa ngoma draw mo xtra


we jamaa wewe!Bahati mbaya hivi vinywaji vyote kuanzia soda na hivi vipya vipya vyote nina mwaka wa 11 situmii mkuu. Wala sina mpango hata wa kuonjaJaribu utaona nguvu yakee ... usipende kuadisiwa
maradhara yamke mkuu tupate faida....Ninasikitika sana ninapowaona wajumbe humu wakihamasishana kunywa hizi energy drinks.
Hakika madhara yake ni makubwa kuliko faida zake na madhara yanadumu kwa miaka mingi na pengine umri wako wote.
Huwa nawaambia wanywaji wa hivi vinywaji ninapokutana nao kila mara "ni heri ukoroge sumu ya panya kidogo kidgo kila mara na unywe kuliko haya ma energy drinks."
Narudia tena madhara yake ni makubwa na yakudumu muda mrefu kuliko faida zake chukua hatua.
maradhara yamke mkuu tupate faida....
Tupe shuleNinasikitika sana ninapowaona wajumbe humu wakihamasishana kunywa hizi energy drinks.
Hakika madhara yake ni makubwa kuliko faida zake na madhara yanadumu kwa miaka mingi na pengine umri wako wote.
Huwa nawaambia wanywaji wa hivi vinywaji ninapokutana nao kila mara "ni heri ukoroge sumu ya panya kidogo kidgo kila mara na unywe kuliko haya ma energy drinks."
Narudia tena madhara yake ni makubwa na yakudumu muda mrefu kuliko faida zake chukua hatua.