Mo xtra kinywaji kipya

Mo xtra kinywaji kipya

Pamoja na kwamba sijatumia hata soda tu kwa muda wa miaka 11 sasa. Sijui hata radha ya hivi vinywaji vyote vipya ikiwa pamoja na juice zote za viwandani. Nakushauri hata wewe mleta uzi achana na hivyo vinywaji,tena unaambiwa kabisa hii ndio ina nguvu zaidi. Hiyo ni hatari sana kwa afya yako
Hakika utakufa na mavumbini utarudi
 
kama ni engelishe sifungui link bora nipige mora extera kumi

Soma hii report ya WHO iliyochapwa kwenye gazeti la guardian Uk
 
Watakua wamebadili label tu. Kuna kitu watu wengi hawafahamu au hawajui... Energy drink haiupi mwili nguvu, energy drink inachochea mwili kutengeneza au kuzalisha nguvu kupitia ingredients iitwayo CAFFEIN ambayo inapatikana pia kwenye kahawa. Sasa kusema inanguvu mara mbili mayb wameongeza kiwango cha caffein ambayo mm siamini coz kiwango cha caffein kipo regulated. Chukua chupa ya zamani soma kiwango cha caffein na sugar kilichopo then linganisha na kilichoandikwa kwwnye hiyo chupa mpya...achana na maneno ya mangi.
 
Tunakoelekea wanywaji was vinywaji visivyo na kilevi watakuwa na matatizo sana kuliko sisi walevi🍻🥃
 
Watu wanaangamia kwa kukosa maarifa! Kila siku tunabadilishiwa sumu hii na tunaletewa sumu ile, tuna wasomi wenye phd lkn wanashindwa kuueleza umma kuwa hivi vinywaji si salama na ni hatari kwa afya zetu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom