martial jb
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 864
- 1,456
- Thread starter
- #41
huku napo tumepigwa NdoigeWamekwambiaje?
huku napo tumepigwa NdoigeWamekwambiaje?
Sina jibu kamili lakini kaniambia tutaendela kuwasilianaUmepata!!??
Allah akufanzie wepesiKwanini sijaomba mkopo HESLB
Je umeomba sponsor sehem nyingine
Ada yako kwa mwaka ni kiasi gani
Sawa tutaendelea kuwasiliana
Ivo tu wameuliza
Ushatoboa subiri kulamba asali.Sina jibu kamili lakini kaniambia tutaendela kuwasiliana
Ushauri hakikisha no uliyoweka ipo hewani 24Hr
In Shaa AlaahAllah akufanzie wepesi
DuaUshatoboa subiri kulamba asali.
Muslim University of Morogoro tunajiona wapweke. Faculty of Islamic Studies Bachelor of Islamic Studies (Honours).Habari wakuu
Mo scholarships hii ni fursa ya ufadhili wa masomo inayotolewa na Mo Dewji kupitia taasisi ya Mo Foundation, ufadhili huu ni kwa ajili ya malipo ya ada, malipo ya awali ya chuoni pamoja na pesa ya chakula na malazi kwa wanafunzi.
Pia ufadhili huu hutolewa kwa wanafunzi wa ngazi ya masomo ya shahada mwaka wa kwanza (fresh students)na pia hutolewa kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali na kwa mwaka huu watatoa kwa vyuo vya UDSM, NIT, SUZA na UDOM tu.
Dirisha la maombi litafunguliwa kesho tar 22 mpaka tar 29 mwezi huu.
Wanafunzi wenye uhitaji wa ufadhili huu wa kimasomo ni nafasi yao kuchangamkia fursa hii,
Ila nashauri next time tunaomba bilionea huyo asibague vyuo kwani wanafunzi wa vyuo vyote wanauhitaji.
mzee ushalamba asali hapaKwanini sijaomba mkopo HESLB
Je umeomba sponsor sehem nyingine
Ada yako kwa mwaka ni kiasi gani
Sawa tutaendelea kuwasiliana
Ivo tu wameuliza
Tatzo nn mpk muwe wapwekeMuslim University of Morogoro tunajiona wapweke. Faculty of Islamic Studies Bachelor of Islamic Studies (Honours).
Tumesahaulika na Mwenzetu. Masikitiko naona MoU imeshika hatamuTatzo nn mpk muwe wapweke
Hao wa vyuo tajwa bado hawaelewi nini kinaendelea we ndgu yangu waona umesahaulika hizi zingine ni bahati nasibu tu kupata na connection tupu mkuuTumesahaulika na Mwenzetu. Masikitiko naona MoU imeshika hatamu
Sasa heslb hawajatoa nae ndo awakatae watu kwa staili hiyo, alitakiwa ahakiki km mtu kapata au lah!Ina maana kuomba mkopo HESLB iwe kigezo cha kukataliwa Mo Foundation
Mo Foundation hata hivyo huwa inachukua wanafunzi wachache san, mwaka jana walikuwa 100 tuHao wa vyuo tajwa bado hawaelewi nini kinaendelea we ndgu yangu waona umesahaulika hizi zingine ni bahati nasibu tu kupata na connection tupu mkuu
We hujapata heslbSasa heslb hawajatoa nae ndo awakatae watu kwa staili hiyo, alitakiwa ahakiki km mtu kapata au lah!
Sijapata mkuuWe hujapata heslb
But wanaendelea na mchakato, vuta subira mkuuSijapata mkuu