Mo Scholarships 2022 (Mo Foundation)

Mo Scholarships 2022 (Mo Foundation)

Sidhani kama majina yatakuwa yametoka, maana wamefunga dirisha juzi tu
 
ila kama wangekua na kautaratibu kakutoa update ingekua njema japo kuwaliwaza wanafunzi
Subirini jamani mtapigiwa simu au mtatumiwa notifications kupitia email zenu
 
Habari wakuu

Mo scholarships hii ni fursa ya ufadhili wa masomo inayotolewa na Mo Dewji kupitia taasisi ya Mo Foundation, ufadhili huu ni kwa ajili ya malipo ya ada, malipo ya awali ya chuoni pamoja na pesa ya chakula na malazi kwa wanafunzi.

Pia ufadhili huu hutolewa kwa wanafunzi wa ngazi ya masomo ya shahada mwaka wa kwanza (fresh students)na pia hutolewa kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali na kwa mwaka huu watatoa kwa vyuo vya UDSM, NIT, SUZA na UDOM tu.

Dirisha la maombi litafunguliwa kesho tar 22 mpaka tar 29 mwezi huu.

Wanafunzi wenye uhitaji wa ufadhili huu wa kimasomo ni nafasi yao kuchangamkia fursa hii,

Ila nashauri next time tunaomba bilionea huyo asibague vyuo kwani wanafunzi wa vyuo vyote wanauhitaji.
Hapo mwishoni ulipomalizia "Next time unashauri bilionea asibague vyuo kwani wote wana uhitaji"..The issue, Ni kwamba msaada si haki wala si lazima.atatoa kulingana na matakwa yake.
 
Hapo mwishoni ulipomalizia "Next time unashauri bilionea asibague vyuo kwani wote wana uhitaji"..The issue, Ni kwamba msaada si haki wala si lazima.atatoa kulingana na matakwa yake.
Hamna mtu aliekataa,
Ila msaada nao haubagui unatoka kwa yeyote mwenye uhitaji,
Ni kama ushauri na wala sio kesi
 
Hapo mwishoni ulipomalizia "Next time unashauri bilionea asibague vyuo kwani wote wana uhitaji"..The issue, Ni kwamba msaada si haki wala si lazima.atatoa kulingana na matakwa yake.
Mi nafiikiri kuna makubaliano yapo kati yake Bilionea na vyuo husika kwani happy miaka ya nyuma alikua akitoa kwa udsm na sua pekee
 
Hamna mtu aliekataa,
Ila msaada nao haubagui unatoka kwa yeyote mwenye uhitaji,
Ni kama ushauri na wala sio kesi
ila nimeona sehem kwamba wale wa suza Zanzibar pia wanaweza kuapply hyo kitu
 
Mi nafiikiri kuna makubaliano yapo kati yake Bilionea na vyuo husika kwani happy miaka ya nyuma alikua akitoa kwa udsm na sua pekee
Hamna kitu mzeeh!! sas scholarship ya mwanafunzi inahusika vipi na chuo!! Hiyo ni ishu ya mfadhili na mwanafunzi, chuo wanataka ada tu, hayo mengine mtajua wenyewe!!
Sasa mbona mwaka jana Ifm, DIT,DMI na vingine vilikuwepo na mwaka huu havipo!!??
 
Hamna kitu mzeeh!! sas scholarship ya mwanafunzi inahusika vipi na chuo!! Hiyo ni ishu ya mfadhili na mwanafunzi, chuo wanataka ada tu, hayo mengine mtajua wenyewe!!
Sasa mbona mwaka jana Ifm, DIT,DMI na vingine vilikuwepo na mwaka huu havipo!!??
Bhas Boss anaji balance mwenyew kulingana na goals zake maana hata sadaka. Unaambiwa toa kile kilichozidi baada ya matumizi yako na kwa kutambua hilo ameona abadili vyuo kwa kila mwaka wa masomo
 
Back
Top Bottom