martial jb
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 864
- 1,463
- Thread starter
- #21
Sidhani kama majina yatakuwa yametoka, maana wamefunga dirisha juzi tu
NdiyoKuhusu majina au
ila kama wangekua na kautaratibu kakutoa update ingekua njema japo kuwaliwaza wanafunziSidhani kama majina yatakuwa yametoka, maana wamefunga dirisha juzi tu
Update ya nini kiongozi, kama umepata utapigiwa simuila kama wangekua na kautaratibu kakutoa update ingekua njema japo kuwaliwaza wanafunzi
Subirini jamani mtapigiwa simu au mtatumiwa notifications kupitia email zenuila kama wangekua na kautaratibu kakutoa update ingekua njema japo kuwaliwaza wanafunzi
Hapo mwishoni ulipomalizia "Next time unashauri bilionea asibague vyuo kwani wote wana uhitaji"..The issue, Ni kwamba msaada si haki wala si lazima.atatoa kulingana na matakwa yake.Habari wakuu
Mo scholarships hii ni fursa ya ufadhili wa masomo inayotolewa na Mo Dewji kupitia taasisi ya Mo Foundation, ufadhili huu ni kwa ajili ya malipo ya ada, malipo ya awali ya chuoni pamoja na pesa ya chakula na malazi kwa wanafunzi.
Pia ufadhili huu hutolewa kwa wanafunzi wa ngazi ya masomo ya shahada mwaka wa kwanza (fresh students)na pia hutolewa kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali na kwa mwaka huu watatoa kwa vyuo vya UDSM, NIT, SUZA na UDOM tu.
Dirisha la maombi litafunguliwa kesho tar 22 mpaka tar 29 mwezi huu.
Wanafunzi wenye uhitaji wa ufadhili huu wa kimasomo ni nafasi yao kuchangamkia fursa hii,
Ila nashauri next time tunaomba bilionea huyo asibague vyuo kwani wanafunzi wa vyuo vyote wanauhitaji.
Hamna mtu aliekataa,Hapo mwishoni ulipomalizia "Next time unashauri bilionea asibague vyuo kwani wote wana uhitaji"..The issue, Ni kwamba msaada si haki wala si lazima.atatoa kulingana na matakwa yake.
Mi nafiikiri kuna makubaliano yapo kati yake Bilionea na vyuo husika kwani happy miaka ya nyuma alikua akitoa kwa udsm na sua pekeeHapo mwishoni ulipomalizia "Next time unashauri bilionea asibague vyuo kwani wote wana uhitaji"..The issue, Ni kwamba msaada si haki wala si lazima.atatoa kulingana na matakwa yake.
ila nimeona sehem kwamba wale wa suza Zanzibar pia wanaweza kuapply hyo kituHamna mtu aliekataa,
Ila msaada nao haubagui unatoka kwa yeyote mwenye uhitaji,
Ni kama ushauri na wala sio kesi
Hamna kitu mzeeh!! sas scholarship ya mwanafunzi inahusika vipi na chuo!! Hiyo ni ishu ya mfadhili na mwanafunzi, chuo wanataka ada tu, hayo mengine mtajua wenyewe!!Mi nafiikiri kuna makubaliano yapo kati yake Bilionea na vyuo husika kwani happy miaka ya nyuma alikua akitoa kwa udsm na sua pekee
Yeah! UDOM, UDSM, SUZA na NITila nimeona sehem kwamba wale wa suza Zanzibar pia wanaweza kuapply hyo kitu
Bhas Boss anaji balance mwenyew kulingana na goals zake maana hata sadaka. Unaambiwa toa kile kilichozidi baada ya matumizi yako na kwa kutambua hilo ameona abadili vyuo kwa kila mwaka wa masomoHamna kitu mzeeh!! sas scholarship ya mwanafunzi inahusika vipi na chuo!! Hiyo ni ishu ya mfadhili na mwanafunzi, chuo wanataka ada tu, hayo mengine mtajua wenyewe!!
Sasa mbona mwaka jana Ifm, DIT,DMI na vingine vilikuwepo na mwaka huu havipo!!??
Bhas Boss anaji balance mwenyew kulingana na goals zake maana hata sadaka. Unaambiwa toa kile kilichozidi baada ya matumizi yako na kwa kutambua hilo ameona abadili vyuo kwa kila mwaka wa masomo



WanasemajeNadhani hawatoi majina
Nilituma maombi, wamenipigia simu leo
Umepata!!??Nadhani hawatoi majina
Nilituma maombi, wamenipigia simu leo
Wamekwambiaje?Nadhani hawatoi majina
Nilituma maombi, wamenipigia simu leo