Jumamosi usiku mishale ya saa tatu, nikiwa naangalia kipindi cha Justice With Judge Jeanine, ghafla naona habari kupatikana kwa Mo zikipita chini kwenye kioo cha tivii [news ticker ].
Katika vitu ambayo vimenifurahisha ni kwamba, watekaji wametoka nchi jirani wamenunua bunduki, wakamteka MO wawatu na gari moja wakiwa wanazunguka nao jijini mzima, wakati watu wanalijua?
Hapo kwenye red hiyo habari umeipata wapi mkuu?! Mo hakupewa simu na hao watekaji bali alipewa simu na walinzi waliokua eneo lile na kwa vile alikua na namba ya baba yake kichwani ndio akampigia.
Jumamosi usiku mishale ya saa tatu, nikiwa naangalia kipindi cha Justice With Judge Jeanine, ghafla naona habari kupatikana kwa Mo zikipita chini kwenye kioo cha tivii [news ticker ].