MO na Halima Mdee, patachimbika Jimbo la Kawe!

MO na Halima Mdee, patachimbika Jimbo la Kawe!

ALIKUWA MBUNGE WA SINGIDA,

ANATAKA AWE MBUNGE WA KAWE (DSM)

HUKO KWENYE UBUNGE KUNA NINI?
 
Kuna kila dalili mfanyabiashara mkubwa na kada wa CCM ndugu Mohammed Dewji almaarufu 'Mo' atagombea Jimbo la Kawe katika uchaguzi ujao wa 2020.



Inasemekana CCM inamshawishi MO ili akubali kuwa mshindani wa Halima Mdee kwenye Jimbo hilo mwakani.


Mytake;Ufalme wa Halima unaenda kukoma rasmi kwa mwamba huo wa CCM endapo tu utakubali kugombea Jimbo la Kawe.
Jimbo la singida mjini aliliwakilisha, lakini tangu aingie bungeni mpaka anatoka hakuwahi kuongea chochote.
 
Muacheni na hilo jimbo lake kwani maendeleo na hizo bara bara za kilo meter moja anakwamisha yeye au ni hao ccm wenyew kwa uoga wao?
 
Kuna kila dalili mfanyabiashara mkubwa na kada wa CCM ndugu Mohammed Dewji almaarufu 'Mo' atagombea Jimbo la Kawe katika uchaguzi ujao wa 2020.



Inasemekana CCM inamshawishi MO ili akubali kuwa mshindani wa Halima Mdee kwenye Jimbo hilo mwakani.


Mytake;Ufalme wa Halima unaenda kukoma rasmi kwa mwamba huo wa CCM endapo tu utakubali kugombea Jimbo la Kawe.
Kwani ulishawahi unga mkono Halima kabla ya kuingia madarakani?? ulijua atashinda awali??

Unapata wapi nguvu ya ramli kwamba atashindwa?
 
Wa Singida walimshinda nini mpaka akaachia jimbo?
 
MO .. nijuavyo bado anayo kesi ya kutekwa,nakumbuka Mh.Rais kuna siku alisema msifanye wa tanzania wajinga na Kamanda akasema atatoa ripoti lakini bado,na yule dereva bado yuko mahakamani
 
Ww kama nani? Firauni mmoja

Hahaaaaa povu kama...

1570094696542.png
 
Kuna kila dalili mfanyabiashara mkubwa na kada wa CCM ndugu Mohammed Dewji almaarufu 'Mo' atagombea Jimbo la Kawe katika uchaguzi ujao wa 2020.

Inasemekana CCM inamshawishi MO ili akubali kuwa mshindani wa Halima Mdee kwenye Jimbo hilo mwakani.

Mytake;Ufalme wa Halima unaenda kukoma rasmi kwa mwamba huo wa CCM endapo tu utakubali kugombea Jimbo la Kawe.
Sidhani kama Mo atakubali. Nadhani alishaona madhara ya kuchanganya siasa na biashara alivyokuwa mbunge singida. Leo wakati biashara inamtegemea sana atakubali akapoteze muda badala ya kusimamia biashara ambayo ameikuza sana!!!! Sidhani. Namshauri aachane na siasa kabisa!!! Amuulize owner wa Scandinavia. Tunasikia siasa ndiyo iliyomfilisi!!!!
 
Kuna kila dalili mfanyabiashara mkubwa na kada wa CCM ndugu Mohammed Dewji almaarufu 'Mo' atagombea Jimbo la Kawe katika uchaguzi ujao wa 2020.

Inasemekana CCM inamshawishi MO ili akubali kuwa mshindani wa Halima Mdee kwenye Jimbo hilo mwakani.

Mytake;Ufalme wa Halima unaenda kukoma rasmi kwa mwamba huo wa CCM endapo tu utakubali kugombea Jimbo la Kawe.

Mpe pole aliyekudanganya ila inavyojulikana na jinsi ' Mchezo ' ulivyopangwa tena wa ' Kimkakati ' zaidi Mbunge wa Kawe kwa mwaka 2020 ni Ndugu Paul C. Makonda. Nasikitika kwamba hadi leo Wewe hujalijua hili na upo hapa hapa Dar es Salaam. Pole sana Mkuu. Na kwa Kukuongezea tu kuna ' Baharia ' mwingine sasa yupo Arumeru ( mpayukaji mno hata wana Yanga wote wanamjua ) nae atarudi Kugombea na Kuchukua Jimbo la Ubungo ambalo ndilo amekulia na hata Mama yake alikuwa Mwalimu wa Shule kwa miaka mingi tu hapo.
 
Mkuu,hiyo nimekupa ya ndani kabisa!

Ilikuwa Makonda akapambane naye lakini imeonekana Boniphace kule Ubungo lazima awepo mtu jembe wa kupambana naye ndiposa CCM kimeonelea Makonda abaki Ubungo kummaliza Bon na Mo akammalize Halima.


Mo anapelekwa pale kwa ajili ya jambo moja tu kummaliza Halima.
Toa hiyo avatar uweke ya Magufuli Tafadhali, Obama Siyo mbumbumbu Kama mwenyekiti wako
 
Mkuu,hiyo nimekupa ya ndani kabisa!

Ilikuwa Makonda akapambane naye lakini imeonekana Boniphace kule Ubungo lazima awepo mtu jembe wa kupambana naye ndiposa CCM kimeonelea Makonda abaki Ubungo kummaliza Bon na Mo akammalize Halima.


Mo anapelekwa pale kwa ajili ya jambo moja tu kummaliza Halima.
Unaamini kabisa Makonda anaweza kugombea ubunge Ubungo?! Akijaribu yatakayomkuta yatakuwa zaidi ya yaliyomkuta Kihiyo Temeke.
 
Kwa kusema ukweli bila kumung`unya maneno Halima mdee kupita uchaguzi ujao jimbo la kawe itakuwa ni muujiza wa karne,jimbo halina jipya,barabara zilikuwa hazipitiki mpaka walipokuja makonda na Meya Sita wakaahidi ndipo baada ya miezi michache barabara zikaanza kutengenezwa.Simlaumu Halima Mdee haya ni matokeo ya Siasa za Tanzania ukiwa mbunge wa jimbo halafu unatoka upinzani sahau kupata maendeleo jimboni kwako.
Nafikiri upinzani hawataki maendeleo kwenye majimbo yao maana hata bajeti siku zote wanapinga zisipite.
 
Kwa woga wa "wadosi" na akikumbuka kilichompeleka "Gymkana" naamin akiamriwa kwenda kokote atakwenda aisee!
Mo asikubali tena kurudi kwenye Siasa hata kama atashawishiwa NA watawala. Nashauri asikubali kabisa kuingia kwenye Siasa, ajitahidi sana kuzikwepa Siasa NA wanasiasa. Ajiweke kando NA wanasiasa kama alivyo Mzee Bakhressa.

Amuulize Mzee Bakhressa nini kilimkuta mwaka 1995 baada ya yeye kujiingiza kwenye siasa chafu za Tz! Asikubali kugombea tena ubunge wala kujihusisha na siasa kWA namna yoyote ile.
 
Hapo kwenye "Bon" ina maana kubenea hagombei 2020?
Mkuu,hiyo nimekupa ya ndani kabisa!

Ilikuwa Makonda akapambane naye lakini imeonekana Boniphace kule Ubungo lazima awepo mtu jembe wa kupambana naye ndiposa CCM kimeonelea Makonda abaki Ubungo kummaliza Bon na Mo akammalize Halima.


Mo anapelekwa pale kwa ajili ya jambo moja tu kummaliza Halima.
 
Back
Top Bottom