MO na Halima Mdee, patachimbika Jimbo la Kawe!

MO na Halima Mdee, patachimbika Jimbo la Kawe!

Kwa kusema ukweli bila kumung`unya maneno Halima mdee kupita uchaguzi ujao jimbo la kawe itakuwa ni muujiza wa karne,jimbo halina jipya,barabara zilikuwa hazipitiki mpaka walipokuja makonda na Meya Sita wakaahidi ndipo baada ya miezi michache barabara zikaanza kutengenezwa.Simlaumu Halima Mdee haya ni matokeo ya Siasa za Tanzania ukiwa mbunge wa jimbo halafu unatoka upinzani sahau kupata maendeleo jimboni kwako.
Halima Mdee uwezo wake wa kisiasa unaishia kwenye geti la siasa zake.
 
Mo asikubali tena kurudi kwenye Siasa hata kama atashawishiwa NA watawala. Nashauri asikubali kabisa kuingia kwenye Siasa, ajitahidi sana kuzikwepa Siasa NA wanasiasa. Ajiweke kando NA wanasiasa kama alivyo Mzee Bakhressa.

Amuulize Mzee Bakhressa nini kilimkuta mwaka 1995 baada ya yeye kujiingiza kwenye siasa chafu za Tz! Asikubali kugombea tena ubunge wala kujihusisha na siasa kWA namna yoyote ile.
Mkuu unayajua matokeo ya lile tukio la kmwagwa ngano ya bakharesa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapawezi chimbika hata kidogo inaeleweka nani ni mshindi tayari, mshindi ni MO Dewjiiiii
 
Back
Top Bottom