mzee wa kismati
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 2,287
- 793
Watanzania wote hata kama itakuwa kidogo, lakini something is better than nothing, utaishi ndani ya mioyo ya wananchi kama shujaa wao. Itoe kwa mpangilio wa makundi.
1. Wafanyakazi serikalini na binafsi kupitia waajiri wao.
2. Wakulima na wafanyabiashara kupitia vyama vyao
3. Wanafunzi kupitia vyuo na mashule
4. Watoto wanaoishi mazingira duni na yatima kupitia vikundi na asasi husika
NB. Husifanye kosa kimpa mtu mmpja au wawili utakuwa umeleta mgawanyiko wa vyama nk.
Kumbuka kuna watu ambao wapo makundi zaidi ya moja hapo juu.
1. Wafanyakazi serikalini na binafsi kupitia waajiri wao.
2. Wakulima na wafanyabiashara kupitia vyama vyao
3. Wanafunzi kupitia vyuo na mashule
4. Watoto wanaoishi mazingira duni na yatima kupitia vikundi na asasi husika
NB. Husifanye kosa kimpa mtu mmpja au wawili utakuwa umeleta mgawanyiko wa vyama nk.
Kumbuka kuna watu ambao wapo makundi zaidi ya moja hapo juu.