Mo Ibrahim: CCM awamu ya nne yavunja record utawala bora

Mo Ibrahim: CCM awamu ya nne yavunja record utawala bora

Taifa hili tunakoelekea ni kubaya. Tabia ya baadhi ya watanzania kufanya siasa za udini, kumchafua rais yeyote anayekuwa muislam si sawa. Ni kweli kuwa watanzania tumekuwa mashabiki wa kumponda rais Kikwete, si kwasbbu yoyote bali ni kutokana na uislam wake. Mbona Nyerere aliua watu wengi na hammsemi. Aliwapiga exile watz kibao hamsemi eti mmeamua pia kumpa utakatifu, haya bwana. Lakini wajanja tunajua ubaya wa J.K mnaousemea ni upi. J.K si mbaya hivyo isipokuwa ni jitihada za baadhi yetu za kumhakikishia nchi haitawaliki.

Kwa hiyo unataka kutuaminisha kuwa kikwete alichaguliwa kwa kura za waislam tu!!
unajua ni rais gani wa Tanzania ambaye mpaka sasa ndio anaongoza kwa kusaini hati za kifo na hatimaye kunyongwa watu wengi.
Ni kiashiria kipi kinachotofautisha pale kiongozi anapopingwa kisiasa na pale anapopingwa kwa sababu ya dini yake!?
Mbona hatujasikia rais akilalamika kuwa utendaji wake unakosolewa kwa sababu ya dini yake? au nyie ni mashabiki wake ambao hamna uwezo wa kisiasa wa kujenga hoja kutetea utendaji wake ila mnakimbilia majibu mepesi yasiyo na mashiko ambayo yanaweka wazi ujinga wenu kuwa njia bora ya kumtetea rais kikwete ni kwa kuweka dhana ya udini!
Ina maana ulikuwa unaishi ulimwengu gani wakati mkapa anaongoza Tanzania na pia baada ya kutoka madarakani jinsi alivyokosolewa, kubezwa na kutukanwa lakini si wapambe wake wala yeye aliyejitetea kwa dhana ya udini!
UJINGA WA MJINGA NI ZAO LA ITIKADI ZA KIJINGA ZILIZOTENGENEZWA NA MJINGA KWA AJILI YA WAJINGA ZAIDI YAKE ILI WAJINGA HAO WAZIDI KUWA WAJINGA KULIKO MUASISI WA UJINGA HUO.
 
sorry mkalimotto

1. hivi daraja lakusini aka daraja la Mkapa limeanza kutumika lini vile tukumbushe ?
2.hivi daraja la kigamboni nalo limeanza kutumika tangu lini vile ?
3.hivi mgao wa umeme umekuwa historia tangu lini vile ?
4.hivi tangu kj ameingia madarakani umaskini umeongezeka au umepungua.? kwa % ngapi ?
5.hivi alivyoingia madarakani deni la Taifa lilikua sh ngapi ? je na sasa limeongezeka au limepungua ?

Sorry bro hebu jaribu kujibu hayo nione Iq yako ili nifikirie kama kunaulazima wa kukuuliza maswali ya Advance coz haya ni ya std II


MH Kalimotto maswali magumu mbona wengine unawajibu haaaa pole mkuuuu
 
Usiwe muongo wewe,awe na utawala bora na bado asiwe mshindi?kawadanganye kijiweni kwenu huko
 
Mwakalunga acha u miopic. Mkapa ameacha km 11,000 na J.K amejenga zake 18,000. Soma ripoti ya Magufuli inayotaja barabara na km zake.

Ndio maana nimesema kwa uelewa wangu mdogo coz huyo unayemsema Makufuli aka Muuza nyumba za serikali kimagumashi anajua wazi Baba Riz amefanya nini kwenye Barabara. Ungetaja hizo barabara alizojenga Baba Riz coz nami nikupe detailz kwa uwelewa wangu mdogo chimbuko la hizo barabara .Hapo mmetaja madaraja ya kusini ambayo kimsingi hilo la Umoja alishiriki kulizindua .
 
Kwa Tanzania mbovu tunayoijua sisi ! if we are no. 10, Hiyo nchi iliyokuwa ya mwisho itakuw ikoje ?!
 
Its not your fault you anti J.K. Its because you're spoonfed by your masters and you have wholly given yourself to that slavery you scambags!
 
Taarifa ya utawala bora iliyotolewa na taasisi ya utafiti ya kimataifa ya Ibrahim Mo imemtaja Rais Jakaya Mrisho Kikwete kuvunja record ya utawala bora kwa kuiingiza Tanzania kwa mara ya kwanza katika nafasi ya 10 bora kati ya nchi zaidi ya 50 za Africa.

Kati ya nchi hizo, ni Tanzania pekee kwa ukanda wa Afrika mashariki na kati.

My take:
Watanzania tuzitambue na kuthamini juhudi anazozifanya rais wetu kama vile mafanikio ya kujenga barabara zenye urefu wa km 18,000 ndani ya miaka nane tu ikilinganishwa na km 11,000 alizozikuta, daraja la kusini, la kigamboni, mradi wa mabasi yaendayo kasi, reli ya tanga to musoma+bandari ya musoma itakayoanza hivi karibuni, ufumbuzi wa tatizo la umeme, uvumilivu alionao, uhuru wa kutoa maoni bila mipaka, uhodari wa kutatua matatizo kama uchochezi wa wanasiasa n.k. Hata hivyo tusipozitambua juhudi hizo, watu wa mataifa mengine watazitambua na kumpongeza kwa uwazi kabisa.

Tutabaki tunalalamika kuwa Kikwete hivi Kikwete vile lakini ukweli utabaki kuwa J.K is a super president ever happened in TZ.!

Ungetuambia na vigezo walivyotumia kupimia inawezekana wametumia kigezo cha rais anayeongoza kwa kutembelea nchi nyingi katika utawala wake kuliko wote, pia unatakiwa ujue huyo anayesifiwa hajui umasikini wa wananhi wake unatokana na nini.
 
Hebu Mkuu tujajie a Full list bas tupate a good Benchmark
 
Huyo Mo Ibrahim magumashi tu ndo maana hata zawadi zake siku hizi zinakosa washindi maana taasisi yake imekaa kimkakati kama RADET
 
Jk atakumbukwa kwa visasi na kutesa watu mabwepande.
 
Mo Ibrahim wanapoteza mwelekeo kabisa. Museven na Kibaki nao wamo kwenye list ya viongozi bora (democracy)!
 
kati ya top ten uganda ni namba nane so sio kweli east africa ni tanzania peke yake
 
Hiyo ripoti imeandaliwa na wagonjwa wa akili. Mzee ben mkapa ndiye kwa kweli nampigia saluti
 
Inachekesha na kuudhi. Labda tungesema yeye ni mjinga wa kwanza
 
hivi Libya na Misri ziko kwenye hiyo top ten? na kama hazipo kuna faida gani ya kuwa katka top ten ya MI wakati wanachi wako katika dimbwi la umaskini?
 
Taarifa ya utawala bora iliyotolewa na taasisi ya utafiti ya kimataifa ya Ibrahim Mo imemtaja Rais Jakaya Mrisho Kikwete kuvunja record ya utawala bora kwa kuiingiza Tanzania kwa mara ya kwanza katika nafasi ya 10 bora kati ya nchi zaidi ya 50 za Africa.

Kati ya nchi hizo, ni Tanzania pekee kwa ukanda wa Afrika mashariki na kati.

My take:
Watanzania tuzitambue na kuthamini juhudi anazozifanya rais wetu kama vile mafanikio ya kujenga barabara zenye urefu wa km 18,000 ndani ya miaka nane tu ikilinganishwa na km 11,000 alizozikuta, daraja la kusini, la kigamboni, mradi wa mabasi yaendayo kasi, reli ya tanga to musoma+bandari ya musoma itakayoanza hivi karibuni, ufumbuzi wa tatizo la umeme, uvumilivu alionao, uhuru wa kutoa maoni bila mipaka, uhodari wa kutatua matatizo kama uchochezi wa wanasiasa n.k. Hata hivyo tusipozitambua juhudi hizo, watu wa mataifa mengine watazitambua na kumpongeza kwa uwazi kabisa.

Tutabaki tunalalamika kuwa Kikwete hivi Kikwete vile lakini ukweli utabaki kuwa J.K is a super president ever happened in TZ.!
Hivi kushika namba ya kumi toka mwisho kati ya wajinga nako inabidi ujisifie sio! Afrika kuna nchi ngapi zina utawalala bora? Labda Botswana tu kwa mbaaaali!
 
Back
Top Bottom