Philipo Kidwanga
JF-Expert Member
- Jul 12, 2012
- 2,042
- 599
sasa unawezaje kumsifia mtu ambae anashindwa kuudhibiti udini,huoni udini ukikolea hata hizo barabara zitapasuka kwa mabomu,jk ni dhaifu hata mkimpa udaktari wa kuhonga.Kwenye kuendeleza Barbara na miundo mbinu I agree. Tatizo Hilo la utawala bora halipo. Ni udini na makundi mwanzo mwisho.