muzi
JF-Expert Member
- Jun 17, 2016
- 1,047
- 1,473
Asante, heshima na shikamooo vyombo vyote vya habari ambavyo vinajitambua vinafahamu sheria na taratibu na haziyumbishwi na mtu yeyote. Yule aliyejiona ni mungu wa DAR kwa sasa anapumulia mashine ya Tbc. Alijiona yeye ndo anajua kazi kuliko viongozi wote maana kila uchwao anaandikwa mpaka viongozi wengine wa kada yake walikatishwa tamaa sana. Nilishawahi kusema kwa ulimwengu wa sasahivi MEDIA zinaweza kukukuza na kukupoteza kwa sekunde. Asanteni sana kwa umoja wenu wa kumpotezea na kumchinjia baharini huyu aliyejiona yupo juu ya vyote chini ya jua. Msiripoti wala kuandika chochote juuu yake mpaka atakapoo,mba radhi lakini kwa kuwa anajiona kijogoo mwacheni alivyo. Tbc ambayo imekosa watazamaji na kupoteza taswira kwenye jamii wacheni wamkumbatie maana sasa hana namna nyingine.
Bravo UNITY IS POWER and BASHITE is NOTHING to you
Bravo UNITY IS POWER and BASHITE is NOTHING to you