MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 29,097
- 35,475
Poleni sana
vyombo vyenyewe Uchwara
kutwa udaku kuliko maendeleo ya mwananchi
kwangu mie napenda waendelee hivyo hivyo
kuandikwa na wanafiki ni hasara kuliko faida.
Makonda mwisho wa mwezi kodi inatoka kwenye vyombo hivyo hivyo
na kumlipa mshahara
poleni sana
vyombo vyenyewe Uchwara
kutwa udaku kuliko maendeleo ya mwananchi
kwangu mie napenda waendelee hivyo hivyo
kuandikwa na wanafiki ni hasara kuliko faida.
Makonda mwisho wa mwezi kodi inatoka kwenye vyombo hivyo hivyo
na kumlipa mshahara
poleni sana