kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,066
- 1,535
wandugu wapendwa,
nimeikuta hii pale kwa michuzi juniour nikaipenda....
JIACHIE
kichwa cha habari ni mwana umleavyo ndivyo....
nampa pongezi baba wa mtoto huyu....mie nilishashona kombati na mama watoto....nilipoenda kushona za makinda yangu nikashauriwa niache wakue kidogooooo walau wamfikie huyu dogo....
I WOULD LOVE TO SEE THIS YOUNG FELLOW IN THE PARLIAMENT WHEN I AM ABOUT TO RETIRE!!
pamoja sana!!
nimeikuta hii pale kwa michuzi juniour nikaipenda....
JIACHIE
kichwa cha habari ni mwana umleavyo ndivyo....
nampa pongezi baba wa mtoto huyu....mie nilishashona kombati na mama watoto....nilipoenda kushona za makinda yangu nikashauriwa niache wakue kidogooooo walau wamfikie huyu dogo....
I WOULD LOVE TO SEE THIS YOUNG FELLOW IN THE PARLIAMENT WHEN I AM ABOUT TO RETIRE!!
pamoja sana!!