PostGE2025 Mnyika: Vijana wa sasa wananguvu kubwa katika nchi na wataleta mabadiliko

PostGE2025 Mnyika: Vijana wa sasa wananguvu kubwa katika nchi na wataleta mabadiliko

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA John Mnyika akiongea katika mdahalo uliofanyika kidigital kupitia mtandao wa Zoom mapema leo.

 
Katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA John Mnyika akiongea katika mdahalo uliofanyika kidigital kupitia mtandao wa Zoom mapema leo.
Baada ya uchaguzi mkuu kuvurugika siku ya Octoba 2025, ni hapo ndipo sikio la kufa la CCM lilianza kusikia, na hapo watawala waliaanza kujifunza kuhusu nguvu ya vijana.

Mara moja ikaundwa wizara ya kizushi ya vijana machawa ambayo haipo hata katika utekelezaji wa bajeti ya 2025/26. Na ukiangalia kwa jicho la tatu utaona kuwa itakuwa ni wizara ya vijana machawa kama Lucas Mwashambwa pamoja na vilaza wengine wa UVCCM
 
Back
Top Bottom