Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,069
- 144,504
Umemsahau membe,amwshawapa sharti la kuungana ili wampitishe kuwa mgombeaWatatumia kigezo gani kumpata anayekubalika ( LISSU VS MBOWE )?
Ww ndo kidagaa ndani ya CCM...acha dharauMnyika ni kidagaa tu hapo chadema! Wenye chama chao wanamuangalia na kucheka bora angekaa kimya tu.
Yani hajifunzi hata kwa yaliyopita.
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Mkuu kosa la 2015 haliwezi kujirudia. TumejifunzaOk, I'm waiting; mgombea yeyote wa kutoka ndani ya chama nitamuunga mkono, lakini atakaetoka nje.....
Rais wa kimataifa ni Lissu. The Annointed PresidentHapo ni Lissu tu ndo anakubalika ndani na nje ya nchi na chama pia
Tulianza mshonoAsimame nani au nani kwa sasa hivi chadema ni takataka tu,kimabaki chama cha mitandaoni tu hasa hapa JF huko uraiani ni Magufuli kwa kwenda mbele
Asimame nani au nani kwa sasa hivi chadema ni takataka tu,kimabaki chama cha mitandaoni tu hasa hapa JF huko uraiani ni Magufuli kwa kwenda mbele
Haya kuhusu wewe deal na liccm lako linaloteka watuMnyika ni kidagaa tu hapo chadema! Wenye chama chao wanamuangalia na kucheka bora angekaa kimya tu.
Yani hajifunzi hata kwa yaliyopita.
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app