Hii Tume ya UCHAFUZI ipo kwa maslahi ya CCM, itoshe tu kusema UHUNI, UFEDHULI, DHULMA NA UHALIFU wa namna viwe ni chachu ya kuwafurusha hawa WATEKA NYARA hapo Oktoba. Iwe kupitia sanduku la kura ama MAANDAMANO MAKUBWA SANA yasiyo na kikomo, tupate Serikali itakayoheshimu Katiba ya Wananchi.