Mnyika: Rais Magufuli amekwama

Mnyika: Rais Magufuli amekwama

mko bize na bashite ndio ajenda yenu kubwa ya kitaifa, na kulaumu tu

mpaka akili ziwaingie mnakuwa vizee kama raila odinga na mnaiacha ccm

muda mwingi upinzani unacheza muziki wa ccm

mnakuwa side moja ya ccm huyu, against ccm yule

next day mnashangaa mmepigwa chini EALA, akili zinakuja ccm ni wale wale, mnaishia kutukana

upinzani ni kama mbwa asiye attack anasubiri paka na panya ndio wabweke!!

THEN......mwisho wake Mnyika anataka CCM waweke mfumo??? ...

Ni muda mzuri wa kuamka na kuwaza tume huru ya uchaguzi, CCM haiondoki kwa hizo wishes, na wala hawatamsiliza, ni nzuri akojoe alale, maana tushasema sana

au kuna jipya??
Jipya ni Zitto kujigeuza mti au ziwa Tanganyika
 
Mwelekeo na dira Yao ni kuiondoa ccm madarakani, ukiwa chama cha upinzani huna dola wala platform wala resources kazi yako kuu ni kuikosoa serekali na chama tawala Sawa mkuu? Moja Wapo Ya kukosoa ni kushabikia negative matukio ili kuionesha jamii weaknesses Za chama tawala Sawa kaka?
mkuu lazima kuwe na agenda kuu ya chama ambayo itaeleweka vizuri kwa Taifa.....CHADEMA ya Dr.SLAA ilikuwa na agenda ya kupiga vita ufisadi na ndio kitu kilichowapa umaarufu kwa kuibua kashfa kubwa kubwa za ufisadi kama ile list of shame n.k.....toka Dr. Slaa aondoke kuna ajenda gani CHADEMA inaisimamia tena jibu ni hakuna....au ni cheti cha Makonda?......wabunge wa CHADEMA sasa hivi bungeni ni kupiga kelele tu za chetiiii...mara bashiteeee hawana hoja yoyote ya maana hahaha......
 
fanyeni gemu iwe fair play muone. Mnakuwa waogawaoga kama digidigi bana. Bunge live mmebana, uhuru wa mikutano ya siasa mmebana. Mmebakia kufanya mambo yakijingajinga tu Kwa kumtumia bashite na yote ikabackfire. Mnateka innocent unarmed ppl ambao hata hawawez kijidefend et tyss kwanini msiende kuwateka hao majambaz huko vichakani wanawaua ndugu zetu polisi. Mmeshindwa kudeliver mmebaki kufanya vituko na mambo ya kijingerjnger.

MNAKERA!
Kabla hujatoa hoja fikiria pande mbili
Faida na hasara
 
Wapinzani wamekosa point
Sahv wanang'ang'ania vitu vya ajabuajabu
Mara watetee mashoga
Mara watetee wazungu
Mara wamkandie bashite ilihali akiondoka hawafaidiki kwa lolote
Mara waponde ujenzi unaoendelea
Yaan mpaka nafikiria kuwa wapinzani wamekuwa wapinzani wa maendeleo
CHADEMA yenye hoja na ajenda za maana iliondoka na DR.SLAA
 
hivi nyinyi vijana Lumumba ni WA nchi hii ni maslahi tumbo.

nchi inaangamia nyie hamuoni

uvunjifu WA katiba wazwazi

utekaji

uchumi kuanguka

viwanda imekuwa VI wonder

ajira hamna

nyongeza Za mishahara hamna

mfumuko WA bei

nyie haya mnaona yanaletwa Na upinzani
Kwa hiyo sasa nini kifanyike? njooni na solution sio kulia lia kila siku semeni hapa kifanyike kitu gani
 
Mnyika is totally fails in everything.
Only funeral remains
 
Anachofanya Mnyika sasahivi anakusanya pension yake...2020 anastaafu siasa rasmi maana zimemshinda amekuwa kama msukule tu Bungenii
 
Wapinzani wamekosa point
Sahv wanang'ang'ania vitu vya ajabuajabu
Mara watetee mashoga
Mara watetee wazungu
Mara wamkandie bashite ilihali akiondoka hawafaidiki kwa lolote
Mara waponde ujenzi unaoendelea
Yaan mpaka nafikiria kuwa wapinzani wamekuwa wapinzani wa maendeleo
usisahau wamefungiwa siada
 
unajua usaliti WA namba. manake ujinga hupitishwa kwa Ndioooooooooooo
Ukipungukiwa na nguvu ya ushawishi,daima utatafuta pa kutokea tu,na kama unaakili huwezi changanyika na wapumbavu. Wote ni walewale tu.Inamaana kule anaenda kula posho tu akijua hana la kufanya?
 
CHADEMA yenye hoja na ajenda za maana iliondoka na DR.SLAA
Kiukweli niliona hawana maana baada ya kumponda Lowassa nchi nzima wiki kabla ya kukatwa na kumuita fisadi mfilisi nchi. Baada ya apo wakamkalibisha na kumuita mnyonge na mwenye huruma na nchi, nikawa najiuliza hawa jamaa wanaipenda nchi au madaraka. Baada ya apo wakampitisha lowassa kilazma ata bila kupiga kura. Nikaelewa kuwa chama ni cha mtu. Bila kuishia apo viti maalum wakawa wanagawa ovyo kwa wajulikanao, ata mama lowassa alipewa japo alikataa, apo inamaanisha hawana democracia

Hawakuishia apo tu wakamfukuza Slaa ambae wote walizunguka Tanzania kumponda Lowassa na kumuita Mnafiki ilihali kasimamia msimamo chama kilichokuwa nacho tangia zaman. Nikawa najiuliza ivi nani ni Mnafiki kati ya Chadema au Slaa

MWISHO UKAWA
Lowassa kageuka kutoka fisadi adi Mnyonge na mwenye huruma na wananchi uku Slaa akibadilika kutoka Shujaa adi Mnafiki katika kipindi cha mwezi1

Na leo wanaendeleza uwezo wao wa Kupinga maendeleo
 
Mkuu jimboni tunakumiss...mambo mengi ni hovyo...jaribu kutekeleza ahadi zako kamanda
 
Anatakiwa kuweka "Mifumo". sio kila siku Tumbua Tumbua.

my take.
CAG report. Tumbua Tumbua=0. hela zetu bado zinaibiwa Na kupotea.

katiba mpya haiepukiki
Hivi Mnyika naye kawa hamnazo hayo ndio kaandika!!! Nawe ukaona uyabandike. Kweli chadema wameishiwa hoja mpaka kuleta huu utumbo.
 
Mwelekeo na dira Yao ni kuiondoa ccm madarakani, ukiwa chama cha upinzani huna dola wala platform wala resources kazi yako kuu ni kuikosoa serekali na chama tawala Sawa mkuu? Moja Wapo Ya kukosoa ni kushabikia negative matukio ili kuionesha jamii weaknesses Za chama tawala Sawa kaka?
Kwa magu watakuwa rula maana mwelekeo na dira ya ccm nayo ni kuhakikisha upinzani hawafurukuti..kwa hiyo wakibanwa tusilaumu
 
Rais kafanya kazi kuwa hadi sasa hivyo aungwe mkono, nitajie kazi kuwa alizofanya rais wetu maana wengine mmekuwa bendera fuata upepo, zitaje tafadhali!
 
Anatakiwa kuweka "Mifumo". sio kila siku Tumbua Tumbua.

my take.
CAG report. Tumbua Tumbua=0. hela zetu bado zinaibiwa Na kupotea.

katiba mpya haiepukiki
CAG reports ni za miaka 2 nyuma. Hivyo toleo la leo linaongelea yaliyofanyika awamu ya nne. Hivyo usiilaumu awamu ya tano kwa yaliyofanywa na awamu ya nne. Utakuwa unaionea. Tusubiri mwakani ambapo CAG ndipo ataanza kutoa repoti zinazoihusu awamu ya tano. Hapo ndipo utaona kama hizo tumbua tumbua na teua tengua kama zimeleta manufaa kwa nchi yetu. Kuwa na subira usikurupuke.
 
hivi nyinyi vijana Lumumba ni WA nchi hii ni maslahi tumbo.

nchi inaangamia nyie hamuoni

uvunjifu WA katiba wazwazi

utekaji

uchumi kuanguka

viwanda imekuwa VI wonder

ajira hamna

nyongeza Za mishahara hamna

mfumuko WA bei

nyie haya mnaona yanaletwa Na upinzani
Hivi haya majitu ya chadema yanalipwa kwa kujaza kurasa nini? Huu mtindo mpya. Kodi ya wananchi ndivyo uliwavyo. Mlipaji anaangalia kichwa cha habari na idadi ya peji analipa.
Hivi ni manini uliyoandika sasa. Wakupeleke hospitaali si mzima wewe. Mnachanganywa na kasi ya maendeleo ya inayosimamiwa kwa nguvu kubwa na Mh Magufuli.
 
mko bize na bashite ndio ajenda yenu kubwa ya kitaifa, na kulaumu tu

mpaka akili ziwaingie mnakuwa vizee kama raila odinga na mnaiacha ccm

muda mwingi upinzani unacheza muziki wa ccm

mnakuwa side moja ya ccm huyu, against ccm yule

next day mnashangaa mmepigwa chini EALA, akili zinakuja ccm ni wale wale, mnaishia kutukana

upinzani ni kama mbwa asiye attack anasubiri paka na panya ndio wabweke!!

THEN......mwisho wake Mnyika anataka CCM waweke mfumo??? ...

Ni muda mzuri wa kuamka na kuwaza tume huru ya uchaguzi, CCM haiondoki kwa hizo wishes, na wala hawatamsiliza, ni nzuri akojoe alale, maana tushasema sana asawr

au kuna jipya??
asante
 
Back
Top Bottom