Bartazar
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 1,043
- 565
We Ben mtu akikuangalia kwa harakaharaka anaweza kudhani mtu mwenye busara,hekima na unafanya mambo ki taaluma! Kumbe huna lolote kichwani (brain washed) hiyo hoja unayoiweka hapa ina uhusiano gani na nilichopost hapo? Tumia ubongo kufikiri sio masharubu!
Hivi nyie magamba ni lini mtavaa ufahamu, mfikiri kama watu wenye akili timamu?! Mpo kama mataahira. Hoja haiwezi kujibiwa na personal attacks, hujibiwa kwa hoja. What hell are you?!