ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,279
- 7,681
Basi mkuu ninaamini ilikuwa ni picha ya viongozi waasisi na si viongozi na wanachama wote!! Hata kama yule kibaka aliondoka na kundi la wanachadema lakini wapo wanachadema wengi tu London.
Yaani unamwita Kibaka wakati yeye ndiye aliyekuwa nafadhali shughuli zote za chama mpaka vyakula na vinywaji vya wahudhuriaji. Maana alisema bila vinywaji jamaa hawaji kwenye mikutano. Ilimcost sana Lukosi.