Ghosryder
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 10,308
- 4,294
Umeuliza kwanza Ccm wametekeleza ahadi zao za Rais ndio uje hapa na ubunge
Kila mnapoulizwa majukumu ya wabunge wa chadema mnatoa mfano wa ccm eti imetekelezaje ahadi zake! ni kichekesho! kwa hiyo wabunge wa chadema hawatatekeleza ahadi zao simply kwa kuwa ccm haikutekeleza baadhi ya ahadi zake! how pathetic! Kwa hiyo hata mkipewa dola mtakaa miaka mitano bila kutekeleza chochote, na mkirudi kwa wananchi mtasema, "mbona ccm wamekaa madarakani miaka 50 na hawakutimiza ahadi zote, tupeni muda tena" mtauona mtiti wake maana watanzania wa leo sio wa kudanganywa.