hivi kwanini kwenye vipindi vizuri kama hivi huwa hutoagi taarifa hapa jamvini??ujue baada ya ile taarifa ya habari itv kutokana na influence ya watoto ikabidi tubadilishe station na kuanza kuangalia futuhi-star tv, aagh kurudi huku nakuta mnyika zimesalia dakika 10 tu amalize kipindi....aagh nnnilipata taabu sana kuwaambia watoto wakalale, ila walikusikiliza na hapa lengo langu kubwa ni kuwaasa hawa watoto katika makuzi yao waichukie ccm na kujiridhisha na chadema......ila angalizo tu siku zijazo kama kuna kipindi chadema kwenye tv ni bora mkatoa ''alert'' mapema ili tufahamu,..mbona zitto kabwe anafanyaga mara nyingi tu hapa jf