Yaani kila mahali kuna dalili za ukosefu wa usalama...Utaratibu wa hatari sana huu na unaweza kuzua visasi!Aanza kwa kuukosoa uchaguzi wa waziri mkuu kwani karatasi zilikuwa na serial numbers kitu ambacho kingesababisha aliyepiga kura kujulikana na hivyo dhana nzima ya USIRI kuondoka
Kulikuwa na waliosema HAPANA wengi hivyo imebidi kura zipigwe mkuu. Ndo sasa kura zinahesabiwaKwani waziri mkuu amechaguliwa au kuteuliwa?
aanza kwa kuukosoa uchaguzi wa waziri mkuu kwani karatasi zilikuwa na serial numbers kitu ambacho kingesababisha aliyepiga kura kujulikana na hivyo dhana nzima ya usiri kuondoka