Mnyika, Lissu wameianza kazi waliyotumwa

2c2

Member
Nov 5, 2009
98
5
Aanza kwa kuukosoa uchaguzi wa waziri mkuu kwani karatasi zilikuwa na serial numbers kitu ambacho kingesababisha aliyepiga kura kujulikana na hivyo dhana nzima ya USIRI kuondoka
 

AK-47

JF-Expert Member
Nov 12, 2009
1,373
193
Tindu Lisu naye aanza kwa kubainisha mapungufu yaliyojitokeza kuhusu hoja ya uteuzi wa waziri mkuu
 

AK-47

JF-Expert Member
Nov 12, 2009
1,373
193
Anne Makinda amtaka akatimizi kwanza wajibu wa uwakala kuhesabu kura halafu hoja zake zitajibiwa baadae nadhani spika anatafuta muda ili asaidiwe kisheria asikurupuke
 

PakaJimmy

JF-Expert Member
Apr 29, 2009
16,207
8,692
Aanza kwa kuukosoa uchaguzi wa waziri mkuu kwani karatasi zilikuwa na serial numbers kitu ambacho kingesababisha aliyepiga kura kujulikana na hivyo dhana nzima ya USIRI kuondoka
Yaani kila mahali kuna dalili za ukosefu wa usalama...Utaratibu wa hatari sana huu na unaweza kuzua visasi!
 

Wa Kwilondo

JF-Expert Member
Sep 15, 2007
1,081
312
kudhihilisha nini tume watuma bungeni chadema kupitia Tundu na Mnyika wamtia jambajamba Speaker leo:peep:
 

MAKAH

JF-Expert Member
Sep 27, 2010
1,582
265
aanza kwa kuukosoa uchaguzi wa waziri mkuu kwani karatasi zilikuwa na serial numbers kitu ambacho kingesababisha aliyepiga kura kujulikana na hivyo dhana nzima ya usiri kuondoka

tundu lisu naye atema mfululizo wa cheche za mwongozo wa spika. Kazi kweli2
 

2c2

Member
Nov 5, 2009
98
5
karatasi za kkumchagua waziri mkuu zilikuwa zina serial Number haoji usiri wa Uchaguzi huo, Tundu lisu nae haja juu hoja ya Waziri mkuu kutokujadiliwa,,,, ana ashindwa kumjibu anaonyesha kushindwa mwanzooooooooooooooni kabisa
 

Sir Leem

JF-Expert Member
Mar 14, 2008
576
116
Siyo mageni hayo mwaka 1995 Lamwai na Marando walisha yafanya hayo.Spika aliapishwa mara Tatu.
 

Hekima Ufunuo

JF-Expert Member
May 28, 2009
220
11
Kazi wanayo, na bila hilo kujibiwa basi waziri mkuu atakuwa batili kwa sababu hakupatikana kwa kufuata utaratibu.
 

The Spit

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
474
243
dah noma yani nimetune itv muda nna bahati kweli nikaanza na Mnyika.Guys are confident and flowing with vigour.
Hapa kazi ipo!..I am starting to love this Tundu Lisu guy!
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom