Mnyika kwenye hatihati kupoteza jimbo

Mnyika kwenye hatihati kupoteza jimbo

Wananchi wa kibamba wamesema hawatafanya tena makosa walipo pakosea tayari wameshapajua na kuahidi kumpa kura za ndio dr,finela ambae ameonekana kuwa mwiba mkali sana kwa mnyika kutokana na umahri wake na ukaribu wake kwa wanakibamba
 
1. Mnyika hakuwa waziri wa maji, kazi ya mbunge ni kuisimamia serikali na Mnyika kapiga kelele sana za uhaba wa maji jimboni Ubungo kila mtanzania anajua hata kama haishi Ubungo. Kwa hili mpe adhabu waziri wa maji prof Maghembe
2. Mnyika hakuwa waziri wa ujenzi, hili nalo unae wa kumwajibisha ambaye ni John Pombe Magufuli usinpe kura yako.
3.Kuwa karibu na wapiga kura ni kuitisha vikao na mikutano ya hadhara, kwa hili Mnyika kafanya sana na kuhusu simu yake tatizo wewe ukipiga unataka pesa ndo maana alikublock.
4. Kati ya wabunge wasio na ushindani mkubwa ni Mnyika, Dr. Fenella ni miongoni mwa watendaji waliotumia vibaya madaraka mfano alilifungia Mwanahalisi na mahakama ikasema hakuwa sahihi na matokeo yake serikali italipa mabilioni ya pesa zetu.

Kama una akiba ya unachotaka kujua,unakaribishwa tena ila nikukumbushe,kabla ya kupost fanya research usije hapa kama unatutest sisi malofa na wapumbavu. Akili tunazo za utambuzi.

Mnyika
Alikuwa mbunge,
Alipewa biliioni 500 za maendeleo ya jimbo.
Hakusaidia huduna za afya.
Maji yananunuliwa ndoo moja Tsh.600.
Hajaonekana kwa wananchi wake tangu apewe
Ubunge mwaka 2010.
Watafiti wamebaini ni Msanii sana.
Alipewa misaada na ubalozi wa Finland kwa ajili
ya jimbo, akala. Kaishia kununua viji-tank
kadhaa kama kiinimacho na amvietelekeza
mpaka leo hii.
Kura za wanakibamba hazina utata.Hadi sasa
80% ni za Dr. Fenella Mukangara.Angalia
nywele zake!,mama anapiga kazi hadi saloon
hapajui.
CHAGUA MAGUFULI.., CHAGUA MUKANGARA Kwa
maendeleo ya kweli Kibamba.
#HAPA KAZI TU!!
 
1.Mnyika hapokei KODI na hivyo hana responsibility ya kuleta maji kwenye jimbo lake,responsibility za Mnyika zilikuwa kufuatilia na amefanya kwa nguvu zake zote.Ila kwa sababu ya tabia ya serikali ya CCM kuyanyima majimbo ya UPINZANI pesa za maendeleo na maji hili ndilo tatizo.

2.Kazi ya kujenga barabara nadhani mtu muafaka wa kunyimwa kura ni Magufuli maana ndiyo ilikuwa wizara yake,lakini Mnyika amejitahidi mpaka kwa kiwango alichofikia kwa miaka mitano tu anastahili pongezi.

3.Mnyika ameitisha sana mikutano tuliohudhuria tunafahamu hili na katika wabunge ambao hajawaacha wapiga kura wake ni Mnyika.

4.Dr.Fenela wala siyo mshindnai imara labda kwenye issue ya kuhonga maana pesa ya mama iko nje nje,na inatolewa bila hata kificho.

Kwa wanaKibamba tunajua nani anatufaa na ndiyo tutakaye mchagua,lakini Dr.Fenela aliyeliingizia taifa hasara ya Bilioni sita kumlipa Kubenea hatufai hata kidogo.

Na kwa information wakati wa shida na raha tupo pamoja na mbunge wetu.

Yaani huku kwetu ni Mnyika tu,Fenela hana nyimbo.Njoo ututembelee halafu ujue nani ni nani.Ila mwambieni Madame Fenela aache kuhonga imetosha sasa abakize za kesho.

Wapiga kura wa Kibamba kuleni pesa za juyo mama lkn kura kwa Mnyika. Hata sisi tulio mbali tunamkubali. Tulimwona bungeni alivyompelekesha waziri wa maji prof magembe kuhusu mradi wa maji huko Ruvu. Mlitaka afanye nini zaidi jamani?
 
Umetumwa wewe. Kura yako moja haina tija kwa Mnyika! Kama unafikiri huyo Matron wa hostel za UDSM anaweza kumwangusha Mnyika, utasubiri miaka 800!

Huyu mama si alikuwa mtoa vitabu (librarian) pale library ya UDSM?
 
Verily verily yako ni but a dream...Mnyika anawaomba kura wapiga kura wa kabamba na sio wewe. unachotakiwa kufanya ni kuwashawishi wapiga kura, jambo ambalo ni ndoto kumkataa mnyika. Mnyika atatetea nafasi yake na atashinda kwa kishindo na ubungo tunamgalagaza masaburi na majimbo ya dar es salaam tunahakikisha hampati hata moja. hayo ndio mabadiliko.
Ndugu John Mnyika (MB Jimbo la Ubungo)ambaye anagombea jimbo la Kibamba yuko hatarini kupoteza jimbo la Kibamba, pamoja na kuwa kitaifa ni miongoni wa wabunge bora kabisa kwa sasa.

Wasiwasi wa kupoteza jimbo la kibamba inatokana na mambo yafuatayo:

1. Kushindwa kabisa kushughulikia suala la ukosefu wa maji kwa miaka nenda rudi maeneo ya Mbezi, Kima, Ubungo na Kibamba. Je nini tofauti yako kama mpinzani, katika kero hii , na wabunge wa CCM waliokutangulia?
2. Kusuasua kwa miradi ya barabara katika maeneo hayo
3. Kutokuwa karibu na wapigakura wake vya kutosha. Mfano simu zake zote hazipatikani.
4. Kuwa na mshindani imara Dr. Fenella Mukagara na ambaye yuko makini sana na masuala ya msingi san yaani maji na barabara


Najua litakuwa ni pigo kwa taifa kwa mtu kama John Myika kukosekana katika bunge lijalo lakini hio ndo hali halisi.

Mheshimiwa J.Mnyika kama kweli una utetezi kuhusu jinsi unavojipanga kushughulikia (kwa maana naamini kwa miaka mitano iliyopita najua hakuna tangeable achievement) kero hizo hebu njoo hapa ujibu. Usiunder-estimate nguvu ya mtandao katika masuala ya kampeni hasa kwa mwaka huu.

Tunasubiri kusikia toka kwako Ndugu J. MANYIKA.
 
Mimi sio mkazi wa Kibamba ila mkazi wa jimbo la ukonga. Lakini niliona mnyika alivyokuwa akilivalia njuga suala la maji jimboni kwake, juhudi alifanya sana, kama maji ni shida basi ni serikali iliamua kumkomoa kwa vile anatoka upinzani. Hivyo dawa ya maji huko kwa mnyika ni kuchagua ukawa kuanzia ngazi ya raisi, ubunge na udiwani, maana ccm wana hila na ni kama hawajui vyama vingi vipo kisheria. Kwa vyovyote naamini huduma ya maji sio hela kutoka mfuko binafsi wa mbunge, cha msingi mbunge aonyeshe jinsi alivyopambana huduma ipatikane kwa kodi za wananchi. Huku kwetu ukonga maji yapo ya visima vya kujimba.

Rais sawa lakini siyo huyo. Tujaze wabunge wetu hata rais atafanya tunachoamua.
 
Mnyika hajawahi kuwa mbunge wa maana hata siku moja ni kilele tu ndiyo anaziweza.

Inategemea na ubongo maji kiasi gani
Sidhan kama linahtaj kufikiria hilo au sababu alimwita yule jamaa wa magogoni ni dhaif??
 
Hizi madaa nishazichokaa nafungua uzi kwa speed nakutana na upuuzi wa ajaaabu..kabiisa
 
Ndugu John Mnyika (MB Jimbo la Ubungo)ambaye anagombea jimbo la Kibamba yuko hatarini kupoteza jimbo la Kibamba, pamoja na kuwa kitaifa ni miongoni wa wabunge bora kabisa kwa sasa.

Wasiwasi wa kupoteza jimbo la kibamba inatokana na mambo yafuatayo:

1. Kushindwa kabisa kushughulikia suala la ukosefu wa maji kwa miaka nenda rudi maeneo ya Mbezi, Kima, Ubungo na Kibamba. Je nini tofauti yako kama mpinzani, katika kero hii , na wabunge wa CCM waliokutangulia?
2. Kusuasua kwa miradi ya barabara katika maeneo hayo
3. Kutokuwa karibu na wapigakura wake vya kutosha. Mfano simu zake zote hazipatikani.
4. Kuwa na mshindani imara Dr. Fenella Mukagara na ambaye yuko makini sana na masuala ya msingi san yaani maji na barabara


Najua litakuwa ni pigo kwa taifa kwa mtu kama John Myika kukosekana katika bunge lijalo lakini hio ndo hali halisi.

Mheshimiwa J.Mnyika kama kweli una utetezi kuhusu jinsi unavojipanga kushughulikia (kwa maana naamini kwa miaka mitano iliyopita najua hakuna tangeable achievement) kero hizo hebu njoo hapa ujibu. Usiunder-estimate nguvu ya mtandao katika masuala ya kampeni hasa kwa mwaka huu.

Tunasubiri kusikia toka kwako Ndugu J. MANYIKA.

Maji ni tatizo la Nchi nzima,ni tatizo la Serikali ya CCM.Kuhusu ukaribu na Wananchi nadhani utakuwa umetumia takwimu za IPSOS ama TWAWEZA na REJECT!!
 
Duh! Watu mnashusha nondo mpaka mleta mada Verily Verily kala kona! Mwaka kazi ipo!

Wala Verily Verily hajakimbia. Sema hakuna hoja zenye mantiki toka kwa hawa 22% wanaomtetea J. Mnyika.

Ukweli uko pale pale, John Mnyika yuko kwenye hatihati ya kutorudi bungeni. Period.
 
Last edited by a moderator:
sasa kama wewe ni Gamba si ufurahi tu atapoteza, kwa nini unalia lia hapa?
 
Mnyika ni mbunge wa kwanza kufungua milango ya bunge.
 
Ndugu John Mnyika (MB Jimbo la Ubungo)ambaye anagombea jimbo la Kibamba yuko hatarini kupoteza jimbo la Kibamba, pamoja na kuwa kitaifa ni miongoni wa wabunge bora kabisa kwa sasa.

Wasiwasi wa kupoteza jimbo la kibamba inatokana na mambo yafuatayo:

1. Kushindwa kabisa kushughulikia suala la ukosefu wa maji kwa miaka nenda rudi maeneo ya Mbezi, Kima, Ubungo na Kibamba. Je nini tofauti yako kama mpinzani, katika kero hii , na wabunge wa CCM waliokutangulia?
2. Kusuasua kwa miradi ya barabara katika maeneo hayo
3. Kutokuwa karibu na wapigakura wake vya kutosha. Mfano simu zake zote hazipatikani.
4. Kuwa na mshindani imara Dr. Fenella Mukagara na ambaye yuko makini sana na masuala ya msingi san yaani maji na barabara


Najua litakuwa ni pigo kwa taifa kwa mtu kama John Myika kukosekana katika bunge lijalo lakini hio ndo hali halisi.

Mheshimiwa J.Mnyika kama kweli una utetezi kuhusu jinsi unavojipanga kushughulikia (kwa maana naamini kwa miaka mitano iliyopita najua hakuna tangeable achievement) kero hizo hebu njoo hapa ujibu. Usiunder-estimate nguvu ya mtandao katika masuala ya kampeni hasa kwa mwaka huu.

Tunasubiri kusikia toka kwako Ndugu J. MANYIKA.
mburura..
 
Huna jipya wewe ni fisiemu tu hata huelewi ni kwa kiasi gani Mnyika kasaidia kuchangia hoja za kufichua wizi unaoendelea nchi hii ...poleeeee. ..
 
Niko mbezi mwisho sioni hata picha za mkangala...hata hajulikani mtaani
 
mburura..

Utukane usitukane, lakini fahamu kuwa J.Mnyika hana impact jimboni kwake kama mbunge. Na kwa taarifa yako yameanza majuma manne ya Operesheni Tokomeza J. Mnyika kulekea Oct 25.
 
Niko mbezi mwisho sioni hata picha za mkangala...hata hajulikani mtaani

Mama Fenella kaza kamba huyu J.Mnyika utamchomoa maana jimbo hakubaliki sana kama kwenye chama chake au kwenye hoja binafsii bungeni. Kwa kina mama wenzio ambao ndo wapigakura walio wengo ndo kabisaaa hata hawamfahamu sura yake.
 
Wapiga kura wa Kibamba kuleni pesa za juyo mama lkn kura kwa Mnyika. Hata sisi tulio mbali tunamkubali. Tulimwona bungeni alivyompelekesha waziri wa maji prof magembe kuhusu mradi wa maji huko Ruvu. Mlitaka afanye nini zaidi jamani?

Na siyo hivyo tu,kwa kiasi kikubwa barabara za jimbo husika zinapitika kirahisi zaidi.Ameweza kuchimba kisima ambacho kama si kwa uzembe wa serikali ya CCM eneo kubwa la kata ya Kwembe maji yangekuwa historia.

Tuweke chuki pembeni Mnyika ni Mbunge ambaye jimbo lolote wanamtamani.Anasemea anachokiamini.Anafanya kadiri ya uwezo wake.Tumemuona na hope wengi tutamsupport.
 
Back
Top Bottom