ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 15,774
- 35,994
Katibu wetu wa Chama umenikera mno leo Kwa mara ya kwanza
Kwanini utoe taarifa za wali alipo makamu Mwenyekiti wetu?
Kwani wewe ndo ulimkamata?
Police wamekaidi kutoa taarifa za wapi alipo, wewe Kwa kiherehere chako umeharibu kila kitu
Ona tumekosa pa kuanzia
Wakurya huko Tarime washapandisha moto na kuwapa polisi siku 1
Umeshusha morali kidogo ya kuliamsha na maandamano na umenikera mno
Kwanini usingekaa kimya katibu wangu?
Hii kazi ya Heche ungetuachia sisi wananchi
Japo nimekusamehe Kwa Sasa, ila usirudie tena
Kwanini utoe taarifa za wali alipo makamu Mwenyekiti wetu?
Kwani wewe ndo ulimkamata?
Police wamekaidi kutoa taarifa za wapi alipo, wewe Kwa kiherehere chako umeharibu kila kitu
Ona tumekosa pa kuanzia
Wakurya huko Tarime washapandisha moto na kuwapa polisi siku 1
Umeshusha morali kidogo ya kuliamsha na maandamano na umenikera mno
Kwanini usingekaa kimya katibu wangu?
Hii kazi ya Heche ungetuachia sisi wananchi
Japo nimekusamehe Kwa Sasa, ila usirudie tena